Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: EWURA kutokomeza mafuta ya makopo vijijini
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
December 9, 2023
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais atoa maagizo haya kwa Vyama vya siasa
December 8, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > EWURA kutokomeza mafuta ya makopo vijijini
Mix

EWURA kutokomeza mafuta ya makopo vijijini

September 23, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Katika kuhakikisha Wafanyabishara na Wasafirishaji vijijini wanaondokana na mafuta ya kupima kwenye makopo Mamlaka ya usimamizi wa Nishati ya Mafuta na Maji Nchini EWURA imetunga Sheria na kanuni ambayo imeruhusu Mtu yoyote kujenga kituo cha Mafuta Maeneo ya vijijini na kuuza mafuta kwa kwa bei elekezi

Hayo yamesemwa na Meneja EWURA Kanda ya Ziwa George Mhina Mjini. Geita katika kongamano na Taasisi mbalimbali za Serikali zinazo husika na utoaji wa leseni kwa Wafanyabishara na wachimbaji wa Madini.

Mhina amesema kwa Sheria ya Sasa ujenzi wa kituo Cha kuuzia Mafuta vijijini Mtu anaruhusiwa kujenga kwa Shillingi Million 50 lengo likiwa ni kutokomeza Mafuta ya kupima kwa Makopo.

“Wananchi changamkeni fursa ya Ujenzi wa vituo hivyo Ili kutomeza Uuzwaji wa Mafuta kwenye Maeneo yasio rasmi haswa Barabarani na kwenye madumu” Amesema Mhina.

Kwa upande wake Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Ndg.Exaudi Kigahe akiwa katika ufunguzi wa Semina kwa wadau wa Mafuta pamoja na wachimbaji wa Madini Mkoani Geita amezitaka Taasisi kuhakikisha zinawasaidia wananchi katika kubuni na kutatua changamoto zao .

Amesema Serikali itaendelea kuwasimamia wananchi wake katika kuondokana na changamoto ambazo wamekuwa wakikumbana nazo huku akitoa Maagizo kwa Taasisi za Serikali kuhakikisha zinatatua kero za wananchi pamoja na Wadau wa Mafuta.

You Might Also Like

Wafanyabiashara waanza kuwa salama na fedha zao

Barrick Tanzania kinara tuzo ya Muajiri bora 2023

Wanafunzi wazidi kunufaika na elimu ya kupinga ukatili

Mgodi wa Barrick Mara kinara kodi ya Mauzo ya nje

Serengeti waunga mkono usawa wa kijinsia

Rama Mwelondo TZA September 23, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 23, 2023
Next Article Mkutano wa IAWP New Zealand wafungwa, CP Kaganda awakaribisha Wajumbe Tanzania
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Kivumbi!! Misso Misondo alivyowaleta Jukwaani Dancers wake, Noma wapewa shangwe
Top Stories December 9, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 9, 2023
Top Stories December 9, 2023
Usiku huu: Balaa la Misso Misondo, Tazama akiwaimbisha Wana Dar ‘Temeke’, sio Mchezo
Entertainment December 9, 2023

You Might also Like

Entertainment

‘Ulivyo muongo, ndivyo mzunguko wako utakuwa mkubwa’ – Burna Boy

December 8, 2023
Entertainment

‘Hii ni sababu ya kwa nini napenda familia zenye wake wengi’ – Teni

December 8, 2023
Entertainment

Rapper Kodak Black, akamatwa baada ya kupatikana na dawa za kulevya aina ya cocaine

December 8, 2023
Entertainment

Daddy Yankee, amestaafu rasmi muziki sasa ‘kuhubiri ulimwengu habari za Yesu’

December 7, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?