Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Exclusive: Jux akerwa na Harmonize afunguka aliyomwambia kabla hajampost ‘Nidharau, sijapenda’
Share
Notification Show More
Latest News
Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’
August 13, 2022
Video: Mo Dewji alivyokutana na Wachezaji wa Simba, kuelekea mchezo dhidi ya Yanga
August 13, 2022
Picha: Kinachojiri kwa Mkapa kwenye mechi ya Watani wa jadi ‘Simba na Yanga’
August 13, 2022
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
August 13, 2022
Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake
August 13, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Exclusive: Jux akerwa na Harmonize afunguka aliyomwambia kabla hajampost ‘Nidharau, sijapenda’
Habari za Mastaa

Exclusive: Jux akerwa na Harmonize afunguka aliyomwambia kabla hajampost ‘Nidharau, sijapenda’

February 9, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Mwimbaji Jux anaye-trend na goma jipya la ‘I LOVE YOU’ kwa sasa, amesema hajafurahishwa na kitendo cha Mwimbaji Harmonize kumuweka bila taarifa kwenye bango lenye majina ya watakao-perform kwenye show yake ya Afro East Carnival tarehe 5 March 2022.

Kwenye Interview na Amplifaya ya Clouds FM Jux amesema ———> “Ni muda Harmonize aliniandikia msg ya kutaka niwepo kwenye show yake lakini hatukua tumefikia muafaka, nikampa namba ya Meneja wangu wawasiliane na Meneja wake lakini hawakuwasiliana na hakuna makubaliano yoyote ya kikazi yalifanyika”

“Kitendo cha kutumia jina langu bila makubaliano yoyote kwangu nimekuchukulia ni kuchukuliana poa au kama ni dharau, mimi na Team yangu hatujapendezwa na hilo…… mimi sina tatizo kum-support Msanii yeyote ila ni lazima tuwe kwenye makubaliano kwasababu sisi wote ni Brand” —Jux.

Upande wa Harmonize haujapatikana kulizungumzia hili lakini Jux amesema alimuandikia aondoe jina lake na kumuachia comment kwenye instagram yake ikisomeka “Tafadhali hakikisha kuna makubaliano kati ya uongozi wangu na Team yako kabla ya kuniweka kwenye mabango ya matangazo kama haya”- Jux

“Tunapenda kushirikiana kama Wasanii ila taratibu za kiuongozi zifuatwe, ni vyema ukafuta hili tangazo haraka” ——— alimalizia Jux kwenye comment. #MillardAyoENT

 

 

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

TAGGED: Jux
Edwin TZA February 9, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wine kwenye glass yako na yake Valentine
Next Article Mkali Rotimi katuletea hii akiwa na mkali wa Nigeria Fireboy ‘Weapon’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’
Sports August 13, 2022
Video: Mo Dewji alivyokutana na Wachezaji wa Simba, kuelekea mchezo dhidi ya Yanga
Sports August 13, 2022
Picha: Kinachojiri kwa Mkapa kwenye mechi ya Watani wa jadi ‘Simba na Yanga’
Sports August 13, 2022
Kizz Daniel alivyopanda jukwaani na bendera ya Tanzania, Watanzania wamsamehe kwa yale yaliyotokea
Entertainment August 13, 2022

You Might also Like

Entertainment

Video: Hamisa Mobetto aonesha gari jipya alilonunuliwa na mpenzi wake

August 13, 2022
Entertainment

Huyu ndie Kizz Daniel, Bilionea wa Buga, Mikasa ya Polisi mpaka kupelekwa Mahakamani

August 12, 2022
Entertainment

Nandy ametuletea hii video mpya ya wimbo wake akiwa na Oxlade ‘Napona’

August 11, 2022
Entertainment

Meneja wa Diamond ‘Sallam’ atia neno baada ya Kizz Daniel kuwaomba radhi watanzania

August 10, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?