Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Liverpool yazidi kupunguzwa kasi, mashabiki nao walisusia mauzo ya tiketi!!
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Liverpool yazidi kupunguzwa kasi, mashabiki nao walisusia mauzo ya tiketi!!
Sports

Liverpool yazidi kupunguzwa kasi, mashabiki nao walisusia mauzo ya tiketi!!

April 29, 2015
Share
1 Min Read
SHARE

liverUkizungumza ushabiki klabu ya Liverpool huenda ndio inayoongoza kwa kuwa na mashabiki wanaopenda zaidi timu yao na kutoa sapoti ya kutosha pale timu inapocheza hata ikitokea imefungwa.

Lakini kitendo cha mauzo ya tiketi kupanda ghafla na kufikia pauni 48 wakati timu yao ilipokuwa ikicheza na Hull City jana kiliwaudhi mashabiki hao na kususia mchezo wao dhidi ya Hull City ambao walijikuta wakifungwa bao 1-0.

faaa

Matokeo hayo yameifanya Liverpool kupoteza malengo yake ya kuwa kwenye timu tano za juu kwenye msimamo wa ligi kuu ya England baada ya jana kukubali kichapo hicho.

fans

Mashabiki hao waliandamana kupinga kiasi kikubwa ambacho wamekuwa wakilipa kama tiketi za kuingia uwanjani na kuomba bei hiyo ipunguzwe ili waweze kushuhudia timu yao kila inapocheza.

fans3

Nitaendelea kukupatia kila stori inayonifikia mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia Twitter, Instagram na Facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza>>>twitter Insta Facebook

You Might Also Like

PSG wachukizwa na Chelsea kukwamisha usajili wa Ziyech

Enzo avunja rekodi ya Uingereza usajili

Jorginho aondoka Chelsea na kusaini Arsenal

Jorginho yametimia Arsenal

Picha: Tazama wadau mbalimbali waliohudhuria kushuhudia mkataba wa Yanga na Haier

Millard Ayo April 29, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Hatua moja mbele Jeshi la Nigeria.. Waliotekwa na Boko Haram wameanza kuokolewa
Next Article Umeisikia ya waumini kusali wakiwa hawana nguo?? Kilichofuatia je?
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?