Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: FIFA : Uwanja wa michezo wa Pele mjini Kigali wazinduliwa rasmi.
Share
Notification Show More
Latest News
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > FIFA : Uwanja wa michezo wa Pele mjini Kigali wazinduliwa rasmi.
Sports

FIFA : Uwanja wa michezo wa Pele mjini Kigali wazinduliwa rasmi.

March 16, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Uwanja huu umefunguliwa kongamano la FIFA la 73 linalowajumuisha wajumbe 2,000, likitarajiwa kuanza rasmi hii leo mjini Kigali.

katika kongamano hili ambapo uchaguzi wa FIFA utafanyika Rais wa sasa wa FIFA Infantino ndiyo mgombea pekee wa kiti hicho baada ya kutokuwa na mpinzani.

Baada ya uzinduzi wa Uwanja wa Pele wa Kigali washiriki wa Kongamano hilo walicheza mechi ya soka, timu moja ikiongozwa na Rais wa Rwanda Paul kagame huku timu nyingine ikiongozwa na Rais wa FIFAGianni Infantino.

Rais Kagame ambaye anafahamika kama shabiki wa mpira wa migu hususan wa timu ya Uingereza ya Arsenal – ambaye hucheza mchezo wa tenesi, aliwashangaza wengi alipojitokeza uwanjani kucheza soka.

Mwezi January, wakati wa mazishi ya Pele,Infantino, ambaye anamuelezea Pele kama mwanamichezo wa mfano wa kuigwa alliahidi kuiomba kila nchi duniani kuupatia jina la Pelé uwanja, kwa heshima ya Mchezaji bora wa Brazil na dunia.

Rwanda, ambayo inapokea kongamano la 73 la FIFA ni miongoni mwa nchi ambazo zimetekeleza ombi hilo.

You Might Also Like

Nimekuwekea Ratiba ya Mechi za Championship League, mtanange ni mkali

PEW:Nusu ya Wamarekani wanaunga mkono marufuku ya serikali, katazo la matumizi ya mtandao wa Tik Tok.

13 wauawa kwa kupigwa risasi wakati wakisubiri msaada wa chakula ,huko Karachi nchini Pakistan.

Tunis:Mamlaka ya maji imetangaza vikwazo usambazaji na matumizi ya maji ya kunywa katika nchi juu ya ongezeko la ukame.

WHO: Zaidi ya watu milioni 1 wameathirika na majanga kikiwemo kipindupindu Msumbiji.

TAGGED: TZA HABARI
Editor 2 March 16, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article NIGERIA: Sensa ya kwanza kufanyika mwezi Mei baada ya miaka 17.
Next Article Gianni Infantino achaguliwa tena kuwa Rais FIFA.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?