Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Imezinduliwa App inayotoa ushauri wa kifedha
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Imezinduliwa App inayotoa ushauri wa kifedha
Mix

Imezinduliwa App inayotoa ushauri wa kifedha

June 28, 2020
Share
4 Min Read
SHARE
Kampuni ya Fintech imezindua App mpya ambayo itakayokuwa ikitoa ushauri wa kifedha kwa mtu binafsi kulingana na mapato na matumizi yake, kutumia akili bandia (Artificial Intelligence) ambayo ni teknolojia ya hali ya juu.
App ya Mipango, inayojihusisha na masuala ya kifedha, itasaidia Watanzania kuwa na uelewa mzuri juu ya matumizi yao, mapato yao na kupata nafasi ya kuangalia bajeti binafsi, kujiwekea malengo ya maendeleo na kisha app hii kukusimamia ili kufanikisha malengo hayo. Ikiwalenga watanzania wa rika zote na kisomo chochote, Mipango app inapatikana kwa lugha ya Kiswahili huku elimu ya fedha ilikitolewa kwa lugha rahisi Zaidi.
Kwa mujibu wa mmoja wa Waanzilishi wa Mipango Lilian Makoi: “Kua na elimu ya kifedha ni moja ya nguzo ya kukua na maendeleo nchini. Zaidi ya  asilimia hamsini (50%) ya  watu wazima wa Watanzania hawajui kiasi au jinisi wametumia  fedha zao wiki iliyopita, na hawana malengo ya kifedha. Tabia hiyo inaingiza watu kwenye madeni mabaya, ambayo inaongoza kupelekea kuwa masikini.”
“Tumeamua kuzindua App hii kwa lengo la kutoa fursa ya kubadilisha maisha ya raia wetu wanayoishi kila siku na kuwa na mahusiano mazuri na fedha zao. Program hii itamsadia mteja kupokea ushauri wa kifedha bure, kufuatilia kipato chake, kufuatilia matumizi yake yote yanavyokwenda, kusimamia mikopo na madeni na pia kupata fursa za uwekezaji kuendana na kipato chake,”>>>> Lilian. 
Aliongeza: “Pia tunatarajia kupata zaidi ya watu milioni moja ambao watapakua  App hii ndani ya miezi 12 ya mwanzo.  Mwaka 2017 taasisi ya Finacial Sector Deepeing (FSDT), walifanya utafiti wa sekta ya fedha katika miji mbalimbali na kujua kuna watu zaidi ya milioni 27 walikuwa watumiaji hai wa simu Tanzania na 48.7% kati ya hao ni watuamiji wa simu za mkononi zenye kuweshwa huduma za mtandao (Smart Phones). Kati ya watumiaji hawa wa simu, milioni 9 ndio wenye vyanzo vya mapato. Hii ilitupelekea kuamini kwamba kuzindua App hii itakuwa na manufaa zaidi kwa raia wa nchi hii.”
Katika miji mingine kwa kipindi cha miezi 12 iliyopita, asilimia 43 ya Watanzania walitunza fedha zao nyumbani kwa njia ya mtandao au kwa benki au kwa watu wa karibu wa familia.
Mwanzilishi mwingine wa Mipango Fintech, Agness Mollel alisisitiza: “Fikra zetu kwa baadaye ni kuwashawishi vijana wengi Zaidi kua na Mipango binafsi ya kifedha na kuwawezehsa kufikia malengo yao kwa kutumia fursa za kuwekeza zinazowafaa nchini.
Lengo letu ni kuwa wezesha watu katika maeneo yote na wenye umri tofauti kkua na Mipango ya kifedha na matumizi mazuri kwa mafanikio yao binafsi,”.
“App hii itakuwa ikitambulisha kitu kipya kila mwezi, ikiwa ni pamoja na kuwawezesha wateja wetu kununua hisa na fursa za uwekezaji, kutunza kumbukumbu za ulio wakopesha na kupata ushauri wa kila matumizi unayoyafanya kulingana na uwezo wako halisi wa kifedha.” Ofisa Mkuu wa Teknolojia wa kampuni hiyo, Nicholaus Ngolongolo, alisisitiza.
“Uzinduzi huu una vipengele vitatu ambavyo ni kutengeneza wasifu wako wa kifedha, kutengeneza bajeti ya mwezi na kurekodi mapato na gharama za kila mwezi/ siku ambazo zitakuwa zikifuatiliwa kulingana na bajeti yako ili kukusaidia kuishi ndani ya bajeti yako!” alimalizia Mwanzilishi wa nne Chris Rabi.

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

EACOP yafanya jambo kulinda makaburi ya kimila Igunga

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

TAGGED: habari daily
Rama Mwelondo TZA June 28, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Moto wateketeza jengo la hospitali ya Mount Meru Arusha “walikuwepo madaktari 14”
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 28, 2020
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?