Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: BREAKING: Huyu ndie aliehukumiwa miaka 20 Jela leo Mahakamani Kisutu
Share
Notification Show More
Latest News
Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
August 8, 2022
International Marathon yaacha historia Zanzibar
August 7, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Breaking News > BREAKING: Huyu ndie aliehukumiwa miaka 20 Jela leo Mahakamani Kisutu
Breaking NewsTop Stories

BREAKING: Huyu ndie aliehukumiwa miaka 20 Jela leo Mahakamani Kisutu

November 22, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Ni Meneja wa Nyanza Commercial Farm, Dilipkumar Pater ambae leo Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es salaam imemuhukumu kwenda jela kwa miaka 20 baada ya kupatikana na hatia.

Pater amehukumiwa kwenda jela miaka 20 au kulipa faini ya Shilingi Milioni 534 baada ya kukutwa na kosa la kupatikana na kucha 17 za Simba.

Hukumu hiyo imetolewa leo November 22, 2017 na Hakimu Mkazi Mfawidhi, Cyprian Mkeha, ambapo amesema amesikiliza ushahidi uliotolewa na Mashahidi wanne wa upande wa mashtaka, vielelezo vitatu na utetezi wa Mshtakiwa mwenyewe.

Hakimu Mkeha amesema Mahakama imemkuta na hatia Mshtakiwa huyo baada ya upande wa mashtaka kuthibitisha kesi hiyo pasipo kuacha shaka na kueleza kuwa vielelezo vilivyowasilishwa Mahakamani hapo ni kucha za Simba, hati ya ukamataji na cheti cha kutathmini kucha hizo.

Hata hivyo, baada ya hukumu hiyo mshtakiwa alishindwa kulipa faini na kupelekwa gerezani.

VIDEO: PAUL MAKONDA AFIKA CLOUDS NA KAMATI YA ULINZI, BONYEZA HAPA CHINI KUTAZAMA MWANZO MWISHO

MAGAZETI LIVE: CCM YATIKISA UPINZANI… SIRI VIKAO CCM KUFANYIKA IKULU

You Might Also Like

Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko

International Marathon yaacha historia Zanzibar

Nane Nane Morogoro, Shaka apongeza jitihada za Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Mfahamu Panya Kennedy anayebeba Camera kama Binadamu ‘Anarekodi Matukio vitani’ (video+)

Video: Kinyozi ahukumiwa Jela miaka 30, kosa kumpa mimba Mwanafunzi

TAGGED: Breaking news, TZA HABARI
Millard Ayo November 22, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha za Irene Uwoya kwenye kaburi la Ndikumana
Next Article Dr. Luis Shika kalipwa tena kuuza sura, sasa ni kwenye hii video ya Bongofleva (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
Mix August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
Top Stories August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
Mix August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
Magazeti August 8, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 7, 2022

August 7, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 6, 2022

August 6, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 5, 2022

August 5, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 4, 2022

August 4, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?