Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kiasi ilichovuna Simba SC kwa kuingia robo fainali CAF Champions League
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Kiasi ilichovuna Simba SC kwa kuingia robo fainali CAF Champions League
Sports

Kiasi ilichovuna Simba SC kwa kuingia robo fainali CAF Champions League

March 18, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Club ya wekundu wa Msimbazi Simba SC Jumamosi ya March 16 2019 ilikuwa uwanja wa Taifa Dar es Salaam kucheza game yake ya mwisho ya hatua ya Makundi dhidi ya AS Vita ya Congo, Simba katika mchezo huo ilikuwa inahitaji ushindi.

Hivyo kushinda kwake kwa magoli 2-1 dhidi ya AS Vita kumeifanya itinge hatua ya robo fainali ya michuano ya CAF Champions League na taratibu za michuano hiyo, Simba SC itapokea kiasi cha dola 650000 ambazo ni zaidi ya Tsh Bilioni 1.5, hizo ni pesa watakazopata timu zote 8 zilizoingia robo fainali.

Simba SC kila hatua itakayopiga kwa sasa itakuwa inavuna kitita cha pesa kutoka CAF kama ilivyo utaratibu wao, Simba sasa inasubiri droo ya CAF ya March 20 2019 itakayojua inacheza na timu gani robo fainali kati ya TP Mazembe ya Congo, Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini na Esperance ya Tunisia, kwa hawezi kucheza na timu zilizomaliza nafasi ya pili katika Kundi kama yeye wala timu iliyomaliza nafasi ya kwanza katika Kundi lake kama ilivyokuwa kwa Al Ahly ya Misri.

Mashabiki wa Simba na Yanga waiongelea Simba VS AS Vita hapo kesho !!

You Might Also Like

Kocha Mkuu wa Taifa Stars awaita kikosini wachezaji hawa wawili wa Simba SC

Full Video: Tazama Mandonga alivyompiga Kenneth ‘Raia wa Uganda’ na kuibuka Mshindi wa Pambano hilo

Picha: Hawa ndio ‘Perfect Kanzu’, mastaa na Watu maarufu ununua hapa Kanzu zao Dar es Salaam

Kapombe na Tshabalala waongezwa Taifa Stars

Kocha Micho wa Uganda ajitetea kipigo cha Taifa Stars “Timu ya Mpito”

TAGGED: Soka bongo
Rama Mwelondo TZA March 18, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article DC Pangani “Msichukulie mambo poa, ukikamatwa na magendo utakuwa mfano” (+video)
Next Article FC Barcelona imethibitisha kuwa Luis Suarez atakuwa nje kwa siku …
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?