Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Gynah ni mwimbaji wa kimataifa kenye usiku wa Kahawa
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Gynah ni mwimbaji wa kimataifa kenye usiku wa Kahawa
Mix

Gynah ni mwimbaji wa kimataifa kenye usiku wa Kahawa

December 22, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Makumbusho ya Taifa la Tanzania kupitia kituo chake cha Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni na program ya Sanaa na wasaani yaani Museum Art Explosion kwa kushirikiana na Tabasamy PR Consulty imeandaa Usiku wa Kahawa kwa mwaka huu
2022.

Tukio hilo litafanyika ljumaa Desemba 30, katika jukwaa (threatre) la Makumbusho na na Nyumba ya Utamaduni chini ya kauli mbiu ya African Vintage. Lengo kuu la hafla hiyo ni kuzindua EP (Extended Playlist) ya ‘G3’ ya Gynah (Regina Beraldo Kihwele), mtunzi wa nyimbo ya ‘it’s You”. Gynah ni mwimbaji wa kimataifa, mtunzi wa nyimbo, mwigizaji, mwanamitindo na mwanaharakati wa masuala ya aíya ya akili aliyezaliwa na kukulia jijini Dares Salaam.

Pamoja na kuimba Gynah, ni mbunifu wa nembo ya Kahawa by Gynah, mavazi ambayo yamechangiwa sana na mitindo ya zamani na mguso wa Kiafrika unaochochewa na vitambaa vinavyozalishwa Tanzania ikiwemo Batik, kanga n.k. Kulingana na Gynah,
“Jina la Kahawa limetokana na kinywaji ninachokipenda sana ambapo nikibuni mitindo ama kwenye uandishi wa filamu ama nyimbo huwa natumia kinywaji hiki cha kahawa;
na ndipo nilipofikia maamuzi ya kupatia nembo yangu ya ubunifu jina la kahawa.

Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni imekuwa ikiendesha programu maridhawa ya kila ijumaa ya mwisho wa mwezi ya Museum Art Explosion kwa muda miaka sita sasa lengo lake ikiwa ni kukuza vipaji vya wasanii wa sanaa za jukwaani na sanaa za ufundi.
Programu hi imejipatia umaarufu mkubwa ambapo wasanii hutumia jukwaa la
Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni kuonesha vipaji vyao katika sanaa mbalimbali.
Kwa hiyo sisi kama Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni tunasubiri kwa hamu onyesho hilo tunapoumalizia mwaka 2022 na kuukaribisha mwaka 2023 huku tukisherehekea vipaji halisi vya Kitanzania msimu huu wa sikukuu.

Museum Art Expolsion na Makumbusho ya Taifa ipo wazi kwa wasanii ambao wako tayari kuonyesha kazi zao kwa wananchi na sokoni ndani na nje ya nchi.

https://millardayo.com/wp-content/uploads/2022/12/vvv.mp4

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

Watu zaidi ya 1000 wafuturishwa Diamond Jubilee

TAGGED: habaridaily
Rama Mwelondo TZA December 22, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mkali wa S.A Njelic kuinogesha Tips Coco, 29th Dec ‘Epitome All White party’, haijawahi kutokea
Next Article Mbappe akataa mapumziko ya siku 10
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?