Leo November 11, 2019 Mbunge wa Jimbo la Kawe Halima Mdee amerejea Bungeni kuendelea kushiriki vikao baada ya kumaliza kutumikia adhabu aliyopewa ya kutoshiriki mikutano miwili tangu Aprili 2, mwaka huu.
Halima Mdee arejea Bungeni, Spika ampa nafasi (+video)
Leave a comment
Leave a comment