Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Halima Mdee na wenzake wafikishwa Mahakamani
Share
Notification Show More
Latest News
Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
January 27, 2023
Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao
January 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Halima Mdee na wenzake wafikishwa Mahakamani
Top Stories

Halima Mdee na wenzake wafikishwa Mahakamani

March 23, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Viongozi na wafuasi wa CHADEMA 27 akiwemo Mbunge wa Kawe, Halima Mdee wamesomewa mashitaka 7 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwemo kumshambulia Askari Magereza.

Hata washitakiwa waliofikishwa mahakamani hapo ni 15 akiwemo mbunge wa Bunda, Ester Bulaya, Meya wa Ubungo, Boniface Jacob na Patrick Assenga (Diwani wa Tabata).

Washitakiwa wamesomewa mashitaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambapo wamekana kutenda makosa hayo na upelelezi wa kesi haujakamilika.

Washitakiwa wameachiwa kwa masharti ya dhamana ya kuwa na mdhamini mmoja aliyesaini Bondi ya Sh.Mil 4 kwa kila mmoja.

Washitakiwa wametimiza masharti na kuachiwa, kesi imeahirishwa hadi Aprili 23, 2020.

AMUUA MPENZI WAKE KISA WIVU WA MAPENZI, AJIKATA KOROMEO

You Might Also Like

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Picha: Mwili wa Mtanzania aliefia kwenye vitani urusi, waagwa kwa picha nyumbani kwao

Magaya, Gwajima, Waziri Mkenda wasaka dawa dhidi ya Ukatili

Alichokifanya Rais Samia kwenye siku yake ya kuzaliwa, Ulega afunguka “Ametoa kwa Yatima”

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA March 23, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoMPYA: Shavu alilopewa Davido kwenye hii single mpya akiwemo French Montana
Next Article Mabibi na Mabwana Meja Kunta ametuletea hii nyingine ‘Pipi’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”
Top Stories January 27, 2023
Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa
Top Stories January 27, 2023
Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa
Entertainment January 27, 2023
Mkali Lord Eyez ametuletea hii collabo yake akiwa na Adiana Ross
Entertainment January 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mkali Brand TZ kutokea Bongo Flevani kaachia hii EP yake mpya, isikilize hapa

January 27, 2023
Entertainment

Warembo wanaounda kundi la Tango Supreme kutumbuiza Dar, 27th Jan Elements Masaki

January 27, 2023
Entertainment

Mabibi na Mabwana Nuh Mziwanda ametuletea hii single mpya ‘Nikizipata’

January 26, 2023
Entertainment

PROFILE: Mfahamu Vido Vidox, ripota wa Ayo TV kwa stori za mastaa!!

January 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?