Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Halmashauri zaagizwa kutenga fedha zoezi la vyeti kwa watoto chini ya miaka 5
Share
Notification Show More
Latest News
Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
August 8, 2022
International Marathon yaacha historia Zanzibar
August 7, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Halmashauri zaagizwa kutenga fedha zoezi la vyeti kwa watoto chini ya miaka 5
Top Stories

Halmashauri zaagizwa kutenga fedha zoezi la vyeti kwa watoto chini ya miaka 5

June 29, 2022
Share
1 Min Read
.
SHARE
Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria Bi Mary Makondo ameagiza halmashauri zote na Mikoa kutenga Fedha katika bajeti zao ili kutekeleza mpango wa Usajili wa Watoto wenye umri chini ya miaka mitano kupata vyeti vya kuzaliwa ambapo jukumu la halmashauri kwa mujibu.
.

Akizungumza katika kikao cha kufanya tathimini katika zoezi la usajili wa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto wenye umri chini ya  miaka amesema tayari wizara imetoa maelekezo kwa RITA kushirikiana na wataalamu wa Wizara kuandaa mpango mkakati ili kuwafikia watoto wenye chini ya miaka 5 ambao bado hawajafikiwa katika hatua za awali katika Mpango wa Usajili.

Nae Mkuu wa Mkoa wa Manyara Makongoro Nyerere ameziagiza halmashauri (7) za mkoa huo, kuwasaka watoto wenye chini ya miaka 5 ambao hawajafikiwa na zoezi la usajili wa vyeti vya kuzaliwa kwani ni muhimu serikali kupata takwimu sahihi za vizazi na vifo.

VIDEO IGP SIRRO AFIKA KWENYE UWANJA WA MEDANI ZA KIVITA, AWEKA WAZI ASKARI 156 KUFUKUZWA MAFUNZONI

 

You Might Also Like

Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko

Nane Nane Morogoro, Shaka apongeza jitihada za Wizara ya Mifugo na Uvuvi

Mfahamu Panya Kennedy anayebeba Camera kama Binadamu ‘Anarekodi Matukio vitani’ (video+)

Video: Kinyozi ahukumiwa Jela miaka 30, kosa kumpa mimba Mwanafunzi

RC Chalamila awaacha hoi Watumishi, ‘Nilikuwa likizo fupi, nimekuwa mpya’

Edwin TZA June 29, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mapya yaibuka auwawa nyumbani kwa Mchepuko, Mtuhumiwa auliwa na Wananchi (video+)
Next Article IGP Sirro afika kwenye medani za kivita, aweka wazi Askari 156 kufukuzwa mafunzoni
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
Mix August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
Top Stories August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
Mix August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
Magazeti August 8, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 7, 2022

August 7, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 6, 2022

August 6, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 5, 2022

August 5, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 4, 2022

August 4, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?