Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Hamad Masauni afunguka bungeni ‘Matukio ya vitendo vya ukatili nchini’
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Hamad Masauni afunguka bungeni ‘Matukio ya vitendo vya ukatili nchini’
Top Stories

Hamad Masauni afunguka bungeni ‘Matukio ya vitendo vya ukatili nchini’

April 6, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Kutoka Bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu Mbunge Fatma Hassan Toufiq ametaka kujua idadi ya wahanga wa vitendo vya ukatili nchini kuanzia mwaka 2019 hadi 2022.

Akijibu swali hilo Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni amesema Takwimu za matukio ya vitendo vya ukatili nchini vilivyoripotiwa kwenye vituo vya Polisi kuanzia mwaka 2019 hadi machi, 2022 ni 27,838 kwa mchanganuo ufuatao: matukio ya kubaka ni 19,726, kulawiti ni 3,260 kati yao wanaume 3,077 na wanawake 183, kuunguzwa kwa moto ni 198 kati yao wanaume 73 na wanawake 125, kutupa watoto wachanga ni 443 kati yao wanaume 177 na wanawake 266, kipigo ni 4,211 kati yao wanaume 16 na wanawake ni 4195.

Aidha ameongeza kuwa jumla ya kesi zilizofikishwa Mahakamani ni 21,063 na watuhumiwa waliohukumiwa ni 14,278 na mashauri mengine yako kwenye hatua mbalimbali za upelelezi na mahakamani. Aidha, Serikali inaendelea kuiasa jamii kutumia vema taasisi za familia, kaya, jumuiya za kidini na ngazi za vitongoji, vijiji na mitaa kudhibiti vitendo vya ukatili katika jamii.

MBUNGE MUSUKUMA AIBUKA NA BUNGE LIVE ‘KUNA WABUNGE VILAZA, SIO KUONGEA KINGEREZA BILA SABABU

 

You Might Also Like

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

TAGGED: Bungeni, Dodoma
Edwin TZA April 6, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mwanamke amuua Mumewe ‘Kisa aliulizwa kwanini amechelewa kurudi nyumbani’
Next Article Wanawake waliopandikizwa mimba wapata watoto watano Tanzania (video+)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?