Mkuu wa Wilaya ya Temeke Godwin Gondwe amefanya ziara na kukagua ujenzi wa madarasa ya shule za Sekondari za Kilamba na Kurasini wilayani humo ikiwa ni njia moja wapo ya serikali kuhakikisha Wanafunzi wanakaa madarasani kulingana na idadi inayostahiki.
“Haya ni malengo ya Rais Magufuli” Gondwe aendeleza moto kuhakikisha Wanafunzi hawakai chini (+video)
Leave a comment
Leave a comment