Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: ‘Unadaiwa na Jeshi hulipi !!, hizo ni dharau’ Rais Magufuli
Share
Notification Show More
Latest News
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > ‘Unadaiwa na Jeshi hulipi !!, hizo ni dharau’ Rais Magufuli
Top Stories

‘Unadaiwa na Jeshi hulipi !!, hizo ni dharau’ Rais Magufuli

May 17, 2018
Share
2 Min Read
SHARE

Leo May 17, 2018 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Magufuli ametoa mwezi mmoja kwa taasisi binafsi na za serikali kulipa madeni wanayodaiwa na JWTZ.

Rais Magufuli amezitaka taasisi hizo kuwajibika kulipa deni hilo na kuongeza kuwa atahakikisha anasimamia mchakato huo na pesa itakayopatikana isaidie kuendelea kuwekeza kwenye viwanda.

“Wote wanaodaiwa na SUMA JKT nawapa mwezi mmoja, wawe wamelipa, baada ya mwezi mmoja, vyombo vya ulinzi na usalama, muwasake wote ambao wame ‘default’. Kukopa harusi kulipa matanga, na mimi nataka iwe kukopa harusi na kulipa iwe harusi,” amesema Rais Magufuli

“Mtu akishaanza kuchezea jeshi, anadaiwa halafu halipi, hiyo ni dharau, yaani unadharau hadi jeshi !!? – Rais Magufuli

“Niwaombe wote wanaodaiwa madeni kwa kuchukua matrekta, mimi niwape mwezi mmoja. ndani ya mwezi mmoja wawe wamelipa, baada ya mwezi mmoja vyombo vyote vya ulinzi na usalama vianze kuwasaka wote.” – Rais Magufuli

Kauli hizo amezitoa JPM kufuatia ombi la Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi, Jenerali Venance Mabeyo ambaye alisema kupitia SUMA JKT wanazidai taasisi binafsi shilingi BILIONI 40 na taasisi za umma shilingi BILIONI 3.4 na kumuomba Rais Magufuli kuwasaidia katika ulipaji wake.

MAGAZETI LIVE: Ishu ya wanawake wenye Makalio, Nape Bashe waamsha Dude

You Might Also Like

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’

Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu

Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’

Rais Samia atoa Bilioni 15 jimboni kwa Shigongo

Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo May 17, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Lugha ya Kiswahili kupata nafasi kutumika Twitter
Next Article List ya mastaa Tuzo za BET, Afrika hawa ndio wameingia
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?