Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Mbunge Heche amemtuhumu DC Tarime kusaini Mkataba kinyume na sheria
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > VIDEO: Mbunge Heche amemtuhumu DC Tarime kusaini Mkataba kinyume na sheria
AyoTV

VIDEO: Mbunge Heche amemtuhumu DC Tarime kusaini Mkataba kinyume na sheria

April 12, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Mbunge wa Tarime Vijijini ‘CHADEMA’, John Heche amemtupia tuhuma Mkuu wa Wilaya ya Tarime, Glorious Luoga akidai amesaini mkataba wa uwekezaji kinyume cha sheria.

Heche amezungumza na waandishi wa habari leo April 12, 2017, na kusema licha ya Mkuu huyo wa Wilaya kusaini mkataba kinyume na sheria pia amekuwa akitumia nguvu na vitisho kwa wananchi wa eneo hilo kwa lengo la kupora ardhi yenye ukubwa wa hekta zaidi ya 34,000 ambayo hukaliwa na zaidi ya wakazi 30,000, kwa ajili ya mradi wa ujenzi wa kiwanda cha miwa.

“Wanakaa watu zaidi ya 30,000, hapo wanategemea hilo bonde; iwe kwa kilimo, iwe kwa kupata maji, iwe kwa samaki, iwe kwa ng’ombe wao kuchunga na maziwa, ni hilo bonde la Mto Mara.” – John Heche.

Bonyeza play hapa chini kutazama…

VIDEO: Majibu ya Waziri Nchemba kwa wanaosema amekaa kimya Kuhusu watu kutekwa. Bonyeza play kutazama.

You Might Also Like

Muuzaji mbolea ajinyakulia pikipiki ya YARA

Dkt. Mpango akasirishwa na alieweka mikono mfukoni wakati wa Wimbo wa Taifa

Mwili wa msimamizi wa uchaguzi wakutwa porini

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

“Uchaguzi Kenya ni huru na uwazi”

TAGGED: Ayo TV, habari daily, TZA HABARI
Millard Ayo April 12, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Stamina na Bill Nass wamezungumzia kuhusu utekaji
Next Article VIDEO: ‘Mnaofikiri kupambana na Rais, mtasubiri hadi 2025’-Lucy Mayenga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?