Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ufafanuzi kuhusu Kondakta aliyedaiwa kuuawa na Wanajeshi kwa kipigo Tanga
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > HekaHeka > Ufafanuzi kuhusu Kondakta aliyedaiwa kuuawa na Wanajeshi kwa kipigo Tanga
HekaHeka

Ufafanuzi kuhusu Kondakta aliyedaiwa kuuawa na Wanajeshi kwa kipigo Tanga

January 31, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Kwenye hekaheka ya leo January 31 2016, Geah Habib ametuletea hekaheka kutokea Tanga inayohusu Kondakta aliyedaiwa kuuawa na wanajeshi kwa kipigo.

Taarifa zinadai kisa chenyewe kilianzia kwa Msichana ambaye ni mtoto wa Mwanajeshi kupanda Daladala bila kulipa nauli hivyo Kondakta akachukua maamuzi ya kuchukua begi lake mpaka alipe nauli ambapo baada Msichana huyo alikwenda kushtaki kwa baba yake.

Inadawai Baba wa huyo mtoto alituma vijana wake waifuatilie gari hiyo na ilipopita kondakta alishushwa na akaingizwa ndani ya kambi ya jeshi wakampiga mpaka hali yake ikawa mbaya, alirudishwa nyumbani na wakati anapelekwa hospitali alifariki.

Ufafanuzi umetolewa na kamanda wa polisi Tanga, Benedict Wakulyamba kuhusu tukio hilo kwa kuzungumza yafuatayo >>> ‘Zimekuwepo taarifa kwamba waliompiga ni Wanajeshi, kwa hatua tuliyoifikia ya kuwakamata baadhi ya watuhumiwa hakuna Mwanajeshi aliyehusika moja kwa moja japo lilifanyikia kwenye kambi ya jeshi’

Unaweza kubonyeza play hapa chini kupata taarifa yote

Ulikosa? undani wa ishu ya Mke kuwamwagia mafuta ya moto Mume na Mtoto? Bonyeza play hapa chini kusikiliza

You Might Also Like

HEKAHEKA: Mwenyekiti atuhumiwa kuua kwa kutumia nyundo DSM

HEKAHEKA: Chatu asababisha Wanaume kulala nje ya ndoa zao DSM

HEKAHEKA: Mwanaume aelezea jinsi Mkewe alivyopotea na kukuta mwili wake umeliwa

HEKAHEKA: Watu wamechanganya Makaburi, Ugomvi umezuka

HEKAHEKA: Kijana mkorofi aliyemchoma kisu mwenzie Jichoni

TAGGED: Hekaheka
Edwin Kamugisha TZA January 31, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article CONFIRMED: Mchezaji wa KRC Genk aliyechukuliwa na Bayer Leverkusen
Next Article VIDEO: Waliofukiwa mgodini Geita waongea, aliyeongoza Sala, walioomba Sigara na mengine
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?