Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mama aliyewatelekeza watoto wake 2 Mwananyamala Dar kapatikana… #Hekaheka..(+Audio)
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > HekaHeka > Mama aliyewatelekeza watoto wake 2 Mwananyamala Dar kapatikana… #Hekaheka..(+Audio)
HekaHeka

Mama aliyewatelekeza watoto wake 2 Mwananyamala Dar kapatikana… #Hekaheka..(+Audio)

March 7, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Watoto walliotelekezwa na mama yao Mwananyamala Dar es salaam, Mama na Baba yao wamepatikana kupitia Hekaheka ya Clouds FM March 7 Geah Habib amefanya interview na mama aliyekuwa anaishi nao Mwananyama na wazazi wa watoto hao.

‘Mama yao alipofika si ndio Elia akaanza kuita mama ndio watu wakaanza kukusanyika tukashtuka ehh kumbe we ndo mama, mimi naona kama alikuwa anataa kuwatorosha maana mbona hakuuliza vizuri ikabidi tumuingize ndani kwa ajili ya usalama maana watu walikuwa wamejaa sana, badae wakasema tumpeleke Serikali ya mtaa’,>>>Mama aliyekuwa anaishi na watoto Mwananyamala

‘Mimi awa nakuwaga nao nyumbani Kimara alikuja jumatano akaniambia anawaitaji watoto maana huyu mwingine alimwandikisha shule huko anapokaa nikamwambia hata kama unakaa kule lakini mimi ndio natakiwa ni waandikishe shule, nilikuwa sina taarifa, mimi nimepewa taarifa nikaambiwa mbona tumewaona wakina Sara kwenye taarifa ya habari‘>>>Ally Baba mzazi wa watoto walitelekezwa.

Stori kamili bonyeza Play hapa chini nimekuweka…..

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>>INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

HEKAHEKA: Mwenyekiti atuhumiwa kuua kwa kutumia nyundo DSM

HEKAHEKA: Chatu asababisha Wanaume kulala nje ya ndoa zao DSM

HEKAHEKA: Mwanaume aelezea jinsi Mkewe alivyopotea na kukuta mwili wake umeliwa

HEKAHEKA: Watu wamechanganya Makaburi, Ugomvi umezuka

HEKAHEKA: Kijana mkorofi aliyemchoma kisu mwenzie Jichoni

TAGGED: Hekaheka
Millard Ayo March 7, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Lulu hakurudi Tanzania jana… ninacho alichoandika leo kuhusu kurudi kwake nyumbani na Tuzo
Next Article Maneno ya Witness kuhusiana na Hiphop….?Walichokiongea Richie na Lulu Baada ya kushinda tuzo Nigeria..(255 +Audio)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?