Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Staa wa Chelsea kafiwa na mama yake mzazi
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
June 3, 2023
Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Staa wa Chelsea kafiwa na mama yake mzazi
Sports

Staa wa Chelsea kafiwa na mama yake mzazi

October 13, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Winga wa kimataifa wa Brazil anayeichezea klabu ya Chelsea ya England Willian amepata pigo baada ya kupokea taarifa za kumpoteza mama yake mzazi Maria Jose, Willian amepokea taarifa za kumpoteza mama yake aliyekuwa ansumbuliwa na kansa.

Maria Jose alifariki kwa kusumbuliwa na ugonjwa wa kansa kwa kipindi cha miaka miwili, Maria amefariki akiwa hospital Sao Paulo Brazil, kufuatia taarifa hizo Willian ataukosa mchezo kati ya Chelsea dhidi ya Leicester City weekend hii, Chelsea imeoneshwa kuguswa na msiba wa mama wa mchezaji wao na kutuma ujumbe wa rambirambi.

jibapa

Kama utakuwa unakumbuka vizuri Willian alijiunga na Chelsea mwaka 2013 akitokea Anzhi Makhachkala ya Urusi aliyokuwa kadumu nayo kwa kipindi kifupi akiichezea mechi 11, Willian pia alikuwa sehemu ya kikosi cha Brazil kilichoifunga Venezuela goli 2-0 siku ya  Jumanne.

ALL GOALS: Yanga vs Simba October 1 2016, Full Time 1-1

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA October 13, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Diamond, RC Makonda, TSN na GSM walivyoguswa na kijana aliyetobolewa macho
Next Article Ya leo kwenye ile kesi ya waliofungua account feki kusaidia maafa Kagera
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
Top Stories June 3, 2023
Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?