Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Hifadhi ya Mpanga Kipengere kusherehekea siku ya Maanguko ya Maji Duniani
Share
Notification Show More
Latest News
Mwanamke aliyeshinda taji la Miss Zimbabwe azua mzozo wa ubaguzi wa rangi
September 27, 2023
Indonesia:Wananchi wapigwa marufuku kununua au kuuza bidhaa kwenye mitandao ikiwemo TikTok
September 27, 2023
Ukraine kutumia muda wa ukimya siku ya Jumapili kuwaenzi wanajeshi wake
September 27, 2023
Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
September 27, 2023
Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Hifadhi ya Mpanga Kipengere kusherehekea siku ya Maanguko ya Maji Duniani
Mix

Hifadhi ya Mpanga Kipengere kusherehekea siku ya Maanguko ya Maji Duniani

June 2, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Katika ukanda wa Afrika Hifadhi ya Mpanga Kipengere ndiyohifadhi pekee yenye idadi kubwa ya Maanguko ya Maji yenye muonekano tofauti na wa kuvutia;Hifadhi hiyo inayosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA); ina maanguko ya Maji zaidi ya 15 ndani ya Hifadhi.

Maanguko hayo yana tiririsha maji wastani wa kimo cha kuanzia mita 20 hadi 400 kutoka juu hadi chini ambapo yanatengeneza mabwawa asilia ya kuogelea – natural swimming pool. Yapo yanayoanguka kwa mfumo wa ulalo – horizontal falling, mengine kama nguzo au zigzag na mengine yanadondoka katika mfumo unaotengeneza ghorofa ambapo yanatengezeza ghorofa yenye floor 10.

Hivyo Juni 16 ya kila mwaka Dunia husherehekea siku ya manguko ya maji Duniani. Ujumbe wa mwaka huu kutoka hifadhi ya Mpanga Kipengere ni “Linda Maanguko ya Maji kukabiliana na mabadiliko ya ya tabia nchi”. Ikiwa maanguko ya maji yanayovutia zaidi hifadhini ni Kimani, Lyamakunohila, Merere na Nyaugenge. Mengine ni Kipengere, Mwamba, Itagho na Nyaluliva.

Hifadhi ya Mpanga Kipengere inapatikana katika Wilaya za Wanging’ombe, Makete kwenye Mkoa wa Njombe na Wilaya ya Mbarali Mbeya. Hifadhi ilianzishwa mwaka 2002 kwa lengo kuu la uhifadhi wa vyanzo vya maji na bioanuai.

You Might Also Like

Mkutano wa IAWP New Zealand wafungwa, CP Kaganda awakaribisha Wajumbe Tanzania

EWURA kutokomeza mafuta ya makopo vijijini

Mradi wa Umeme wa Upepo wa Zanzibar wapamba moto

Joe Biden atuma salamu za pole kwa Mfalme wa Morocco

Rais Samia azindua ujenzi wa soko la Kizimkazi

TAGGED: habari daily
Rama Mwelondo TZA June 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article AudioMPYA: Salex Dewanna “Leo”
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 2, 2023
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwanamke aliyeshinda taji la Miss Zimbabwe azua mzozo wa ubaguzi wa rangi
Entertainment September 27, 2023
Indonesia:Wananchi wapigwa marufuku kununua au kuuza bidhaa kwenye mitandao ikiwemo TikTok
Top Stories September 27, 2023
Ukraine kutumia muda wa ukimya siku ya Jumapili kuwaenzi wanajeshi wake
Top Stories September 27, 2023
Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
Sports September 27, 2023

You Might also Like

Entertainment

Mwanamke aliyeshinda taji la Miss Zimbabwe azua mzozo wa ubaguzi wa rangi

September 27, 2023
Top Stories

Indonesia:Wananchi wapigwa marufuku kununua au kuuza bidhaa kwenye mitandao ikiwemo TikTok

September 27, 2023
Top Stories

Ukraine kutumia muda wa ukimya siku ya Jumapili kuwaenzi wanajeshi wake

September 27, 2023
Top Stories

Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?