Jina lake limeendelea kutajwa zaidi baada ya kusemekana kwamba yeye ni Baba mtarajiwa kutokana na fununu za ujauzito alionao mpenzi wake ambaye ni Mzungu….. LEO TENA ya CloudsFM imemdaka na kumuuliza maswali haya 10 na akayatolea majibu.
'Natamani kuwa na mtoto kama wenzangu wa WCB lakini kusema ukweli mimi sio baba kijacho kama inavyosemekana'-Harmonize #LeotenaCloudsFM pic.twitter.com/7Hb03Xlexj
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
'Mimi kama meneja wa Harmonize nilikuwa namshauri atulie tu maana Wolper anampenda ndio ushauri wangu kwake'-Ricardo Momo #LeotenaCloudsFM pic.twitter.com/tR4gQJcXRR
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
'Kwangu Wolper atabaki kama Mwanamke ambaye alikuwa ananishauri vitu vingi vizuri sina neno naye kabisa'-Harmonize #LeotenaCloudsFM pic.twitter.com/6mctgm3yn4
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
'Mwanamke ambaye nataka kuwa naye kwa sasa napenda awe mzuri, mstaarabu kuhusu umri wowote tu sina tatizo'-Harmonize #LeotenaCloudsFM pic.twitter.com/g09s6INN1w
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
'Siko kwenye mahusiano kwa sasa ni kweli nimeachana na Wolper'-Harmonize #LeotenaCloudsFM pic.twitter.com/epOA5ejpfP
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
'Kusema ukweli nilikuwa na malengo na Wolper lakini ndio hivyo imeshatokea siko naye tena'-Harmonize pic.twitter.com/xLBJhnmOQR
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
'Mama yangu alikuwa anajua Wolper ni mpenzi wangu lakini sikuwahi kumtambulisha nyumbani kwetu'-Harmonize pic.twitter.com/7hUbOx4mBC
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
'Sikwenda kumtambulisha Wolper nyumbani kwetu nilikuwa naenda kwenye show Mtwara'-Harmonize #LeotenaCloudsFM pic.twitter.com/SkQQWBAMNq
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
'Mimi na mshukuru sana mungu kwasababu account yangu ya youtube kwa mwezi ninalipwa zaidi ya mil 5'-Harmonize #LeotenaCloudsFM pic.twitter.com/J0f1W0bxZ9
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
'Sijasema kuwa Woper amenikosea wala mimi sijamkosea sema tumeachana tu kwa amani'-Harmonize #LeotenaCloudsFM pic.twitter.com/JtDsg0u1e4
— millard ayo (@millardayo) May 5, 2017
ULIPITWA? Jackline Wolper akisimulia alivyoanza na Harmonize, BONYEZA PLAY HAPA CHINI
AUDIO: Harmonize aongea ukweli kuhusu yeye na habari za kuachana na Jackline Wolper, BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUMSIKILIZA