Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Maamuzi ya Hussein Bashe kwa watoto wanne waliomtabiria Ubunge
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Maamuzi ya Hussein Bashe kwa watoto wanne waliomtabiria Ubunge
Top Stories

Maamuzi ya Hussein Bashe kwa watoto wanne waliomtabiria Ubunge

August 19, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

‘MANENO YANAUMBA’ ni msemo ambao wengi huutumia na mmoja wa wanaouamini ni pamoja na Mbunge wa Nzega Mjini Hussein Bashe ambaye aliwahi kutabiriwa na wanafunzi wa kike wa Shule ya Msingi kuwa atakuwa Mbunge.

Kweli sasa yametimia ambapo kwa kukumbuka tukio hilo, Bashe leo August 19, 2017 kupitia ukurasa wake wa Instagram aliandika ujumbe maalum kwa watoto hao akisema…>>>”Mwaka 2015 wakati namaliza mkutano ktk kiwanja cha Ushirika watoto hawa wakike Wakiwa wamevaa Uniform zao za shule ya Msingi Ushirika walinisimamisha wakasema maneno yafuatayo”

“Kaka Bashe sisi tunasali kanisani Kila Jpili sisi watatu kukuombea Ushinde na huyu Mwenzetu yeye huwa anakuombea kwenye madrasa Yao uwe Mbunge , nikawauliza kwanini mnaniombea Walijibu tu KITOTO tunakupenda”

“Mimi kwangu sikusahau hili jambo sikulichukulia kwa wepesi niliwatafuta Jana nimewapata Wako Form one na huyo Mdogo yupo darasa la Sita nimeenda kuwatembelea mtaani kwao na kuwaambia Maombi yenu Mungu aliyapokea nimeamua kuanzia sasa nitawasomesha na kuwagharamia Elimu yenu kadri Allah atakavonijaalia”

“Watoto hawa kwangu ilikua deni Hawakua wapiga kura bali walikua na Upendo na mimi na kitu peke ambacho waliweza kuona ni muhimu kunisaidia ni Maombi kwa Mungu ili niwatumikie that’s why my five yrs Agenda namba 1,2,3 ni Elimu AGenda namba 2 ni Afya .Upendo huo walonionyesha kwangu ni deni na mm Upendo nitakaowapa ni ELIMU Naomba Allah a nisaidie”

.

VIDEO: ALICHOKIONGEA HUSSEIN BASHE KUHUSU UJENZI WA RELI MPYA

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

TAGGED: habari daily, Mitandaoni, Social media NEWS, TZA HABARI
Admin August 19, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article CHADEMA imethibitisha Ester Bulaya kukamatwa na Polisi leo
Next Article Siku ya kuzaliwa Rais Mugabe kuwa Siku ya Kitaifa Zimbabwe
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?