Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mambo matano ambayo hukufahamu kama yanasababisha Saratani
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mambo matano ambayo hukufahamu kama yanasababisha Saratani
Top Stories

Mambo matano ambayo hukufahamu kama yanasababisha Saratani

September 17, 2017
Share
3 Min Read
SHARE

Magonjwa ya saratani yanatajwa na taasisi na wataalamu mbalimbali wa afya duniani kuwa yanaongezeka kwa kasi kubwa hususani kutokana na jinsi ya maisha ya mtu yaani life style na sababu nyingine nyingi. Vifuatavyo ni vitu vitano ambavyo humweka mtu kwenye hatari kubwa sana ya kupata saratani

1. Ulaji wa vyakula vilivyosindikwa

Hivi ni vile vyakula ambavyo vinakuwa vimetolewa kwenye hali ya chakula asili na kuwekewa kemikali mbalimbali kama viungo na vinginevyo ili kubadili ladha, muonekano na sababu nyingine.

Kwa mujibu wa wataalamu, chakula asili chochote kikichanganywa na aina zozote za kemikali husababisha maambukizi ambayo huletea shida mwilini hususani kwenye mmng’enyo wa chakula na utumbo.

Image result for burger

2.Maambukizi ya vijidudu

Maambukizi yoyote ya vijidudu vinavyoweza kupelekea magonjwa mbalimbali pia huweza kukua, kukomaa na kusababisha saratani. Kwa mfano, wataalamu nchini Canada wameeleza kuwa maambukizi ya Kisukari cha aina B na C husababisha ugonjwa wa saratani ya ini.

Image result for infection

3. Uvutaji wa sigara

Hili ni tatizo kubwa sana linalopelekea magonjwa ya saratani duniani hususani saratani ya mapafu. Uvutaji sigara pia huathiri zaidi wale ambao hawavuti sigara lakini huvuta moshi huo wa sigara pindi wanapokua karibu na wanao vuta sigara. Inaelezwa kuwa vifo vya watu 600,000 duniani huwa ni vya wanaovuta moshi wa sigara za wafugaji.

Pia inaelezwa kuwa uvutaji wa sigara husababisha magonjwa ya moyo, kiharusi, saratani, na magonjwa mengine sugu ya mfumo wa upumuaji. Uvutaji sigara kawaida huendana na unywaji wa pombe na hivyo inaelezwa kuwa athari zake zinakaribiana.

Image result for smoking

4. Mlo mbaya (Poor diet)

Hii pia inaweza kuelezewa kama ulaji usio wa afya. Na hii ni kwa jinsi ya kula vitu ambavyo huleta matatizo katika mwili. Moja ya vitu vinavyotajwa kuwa sehemu ya mlo mbaya ni pamoja na kutokula mboga za majani nyingi na matunda, kuzidisha ulaji wa nyama nyekundu na iliyosindikwa, kula mafuta mengi, ulaji wa chumvi nyingi na mengineyo.

Inaelezwa pia kuwa nyama aina ya ‘berbacue’ husababisha saratani za matiti na kongosho.

Image result for poor diet

5. Uzito wa kupitiliza

Hii kutokana na kutokua na tabia ya kufanya mazoezi ya mwili. Uzito mkubwa mara nyingi huchangiwa na aina za vyakula watu wanavyokula. Tatizo hili huweza kuondoka kabisa endapo muhusika ataamua kufanya mazoezi ya mwili. Kufanya mazoezi kunafaida za kupunguza fetma yaani ‘obesity’, kuimarisha nishati na kinga ya mwili, hali ya moyo na mapafu pia.

Image result for overweight

Uliiona hii? Kama ni mtumiaji wa Maji ya DAWASA kuna hii ya kufahamu

KAZI IMEANZA DSM: Kamanda mpya kaongea tena…tazama kwenye hii video hapa chini!!!

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

TAGGED: duniani, habari za afya, TZA HABARI, utafiti
Admin September 17, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Top 10: Waigizaji wakike wenye asili ya Afrika warembo zaidi Hollywood
Next Article “Nimemwambia Samatta hakuna kuoa hadi………”>>> Baba Samatta
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?