Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: BREAKING: Ruge Mutahaba afariki dunia
Share
Notification Show More
Latest News
Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
August 8, 2022
International Marathon yaacha historia Zanzibar
August 7, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > BreakingNews > BREAKING: Ruge Mutahaba afariki dunia
BreakingNews

BREAKING: Ruge Mutahaba afariki dunia

February 26, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. John Pombe Magufuli kwa masikito makubwa, kupitia ukurasa wake rasmi twitter  Rais Magufuli ameandika kuwa Mkurugenzi wa Vipindi na uzalishaji wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba amefariki dunia.

“Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha kijana wangu Ruge Mutahaba. Daima nitamkumbuka kwa mchango wake mkubwa ktk tasnia ya habari, burudani, na juhudi za kujenga fikra za maendeleo kwa vijana. Poleni wanafamilia,ndugu,jamaa na marafiki. Mungu amweke mahali pema, Amina”

Ruge Mutahaba hadi umauti unamkuta alikuwa akipatiwa matibabu nchini Afrika Kusini, Ruge amekuwa akiugua kwa zaidi ya miezi minne na alianza kupatiwa matibabu Dar es salaam, India na baadae Afrika Kusini, millardayo.com imezipokea taarifa za msiba wa Ruge kwa masikitiko makubwa, siku zote utakumbukwa mchango wa Ruge katika tasnia ya habari na burudani, pumzika kwa amani Ruge.

LIVE MAGAZETI: ‘Wapigaji’ Hatari wadakwa ATCL, Kanisa Katoliki latoa tamko zito

You Might Also Like

International Marathon yaacha historia Zanzibar

Mfahamu Panya Kennedy anayebeba Camera kama Binadamu ‘Anarekodi Matukio vitani’ (video+)

Diwani CHADEMA na wenzake waachiwa kesi ya mauaji

Nickson afikishwa Mahakamani kwa kujifanya Rais Samia

Wentworth Resources kushirikiana na Tanzania agenda ya maendeleo endelevu ya Nishati

TAGGED: TZA HABARI
Rama Mwelondo TZA February 26, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ripoti imetolewa ndege aliyopata nayo ajali Emiliano Sala haikuwa ya abiria
Next Article Msimamo wa Maurizio Sarri baada ya kugomewa na Kepa Arrizabalaga
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam
Mix August 8, 2022
Kizz Daniel kutotokea kwenye show, Str8upvibes watoa tamko
Top Stories August 8, 2022
Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu
Mix August 8, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 8, 2022
Magazeti August 8, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 7, 2022

August 7, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 6, 2022

August 6, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 5, 2022

August 5, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 4, 2022

August 4, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?