Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Changamoto inazokutana nazo tasnia ya TEHAMA (ICT)
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Changamoto inazokutana nazo tasnia ya TEHAMA (ICT)
Mix

Changamoto inazokutana nazo tasnia ya TEHAMA (ICT)

October 25, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya kufanywa kwa utafiti na uchunguzi wa kina kuhusiana kukosekana kwa mafunzo ya vitendo kwa wanafunzi wanaohitimu mafunzo ya Tehama, Ruse Telecom kupitia kwa CEO wao Halima Idd wametangaza kutoa mafunzo hayo kwa vitendo kuboresha ufanisi kwa wanafunzi.

“Changamoto kubwa tunayokumbana nayo tasnia ya TEHAMA (ICT) upungufu wa ujuzi kwa vitendo, mfano Mwanafunzi amemaliza mtihani anarudi mtaani inakuwa ni ngumu sana kwake kupata ajira kwa sababu hana ujuzi wa vitendo na kama tunavyojua waajiri wengi sana tayari ana ujuzi hana muda wa kuanza kumfundisha yeye yupo kwa ajili ya biashara”>>> Halima Idd

“Juzi juzi tulikuwa zama za 2G sasa hivi tupo 4G na sasa tutaingia 5G hauwezi kujua sasa hivi tunaongelea vitu data sasa hivi ndio mambo ya Cloud tunaongelea artificial tunaongelea Cyber Security vitu kama hivi havifundishwi shuleni”>>>Halima Idd

“Kwa hiyo wale wanafunzi wanakuja wanakaa mtaani hawawezi kujiari wala kuajiriwa mwisho wa siku wanakaa tu, Ruse imeona hiyo changamoto ndio maana imefungua hii platform kuhakikisha kwamba tunatoa mafunzo ya muda mfupi kuanzia wiki moja hadi miezi mitatu hapa Tanzanite Park Victoria”>>>Halima Idd

VIDEO:CEO WA SIMBA , ALIPOULIZWA HATMA YA AUSSEMS KWAKUTOFIKIA TARGET

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

AudioMPYA: Joshua Ngelendo anakualika kusikiliza “Jemedari”

TAGGED: habari kubwa
Rama Mwelondo TZA October 25, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Bocco na Nyoni baada ya kukabidhiwa boda boda kutoka kwa MO Dewji
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania October 25, Hardnews, Udaku na Michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?