Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Penzi la Adebayor na Dilish lazidi kunoga “Valentine’s Day”
Share
Notification Show More
Latest News
Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mpya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Penzi la Adebayor na Dilish lazidi kunoga “Valentine’s Day”
Habari za Mastaa

Penzi la Adebayor na Dilish lazidi kunoga “Valentine’s Day”

February 14, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

February 14 kila mwaka ni siku ya wapendanao ambayo maarufu sana kwa jina la Valentine’s Day, imezoeleka watu mbalimbali wakiwemo mastaa wakiitumia siku hii kuonesha mapenzi yao kwa wapenzi wao kwa kuwaletea zawadi, kutoka nao kwa ajili ya dinner na mambo mengi.

Kwa upande wa Mwanasoka wa Togo Emmanuel Adebayor ambaye anacheza soka la kulipwa Uturuki, kwa sasa yupo mchini Uturuki na mpenzi wake Dilish Methew raia wa Namibia na ameitumia siku hii muhimu ya Valentine’s Day kwa kumnunulia mpenzi wake maua rose (Red Rose) na kumpatia zawadi.

 

Wawili hao ambao awali hawakutarajiwa kufika mbali kutokana na majina yao kuwa makubwa, penzi lao linaonekana kuzidi kushamiri tofauti na wengi walivyokuwa wakidhani hawapo serious, Dilish Methew alianza kupata umaarufu mkubwa Afrika baada ya ushindi wake wa Big Brother Africa The Chase 2014, aliamua kuonesha zawadi yake hiyo mtandaoni huku akiambatanisha na maneno “Siku zote amekuwa akifanya kila kitu maalum kheri ya siku ya wapendanao”

“VALENTINE’S HAIWAHUSU WASIO OA AU KUOLEWA, ALIKUFA MTU” MTAALAM

You Might Also Like

Tanzania ya 3 kutumia Audiomack, wasanii changamkieni

Mkali Burna boy ametuletea hii video mpya akiwa amemshirikisha Ed Sheeran

Tazama alichokifanya Diamond mbele ya Wizkid backstage, ampa Shavu Focalistic (video+)

Picha: Zuchu, Mwana FA na wengineo walivyotoa burudani hafla ya kuwaaga Wabunge

Str8upvibes kumleta ‘Kizz Daniel’ Tanzania?

TAGGED: bongofleva news
Admin February 14, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Valentine’s Machalii ya Chugga na manzi wao, kibunda, ugumu tu (+video)
Next Article RC Mwanri kaibuka na jipya kijiweni “usinitie majaribuni, Mungu niepushe” (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mpya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’
Top Stories August 11, 2022
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mpya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

August 11, 2022
Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

August 11, 2022
Top Stories

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?