Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Ithibati ni nyenzo muhimu katika kuondoa vikwazo vya kibiashara”TBS
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > “Ithibati ni nyenzo muhimu katika kuondoa vikwazo vya kibiashara”TBS
Top Stories

“Ithibati ni nyenzo muhimu katika kuondoa vikwazo vya kibiashara”TBS

August 25, 2021
Share
2 Min Read
SHARE

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limetoa wito kwa Taasisi binafsi na za kiserikali zinazojihusisha na ugezi, ithibati ya ubora kwenda kupata mafunzo ya ithibati ili kuwawezesha kuweka mifumo ya kimataifa katika utendaji wa kazi zao.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam Mratibu anaesimamia dawati la ithibati Bi.Stella Mroso amesema kuwa ithibati inaweza kutolewa kwenye taasisi za upimaji, ukaguzi, uthibiti wa ubora ikiwa na lengo la kujenga imani kwa watumiaji wa bidhaa au huduma kuona inafaa kwa matumizi.

“Ithibati ni nyenzo muhimu katika kuondoa vikwazo vya kibiashara kitu ambacho kitachangia kukuza uchumi wa Taifa letu hasa katika Uchumi wa viiwanda” Stella.

Aidha Bi.Stella ameelezea manufaa ya kutekeleza mifumo ya kiwango cha kimataifa katika maabara za upimaji za ugezi ambapo moja ya manufaa ni kujenga imani kwa wateja, kuziwezesha maabara kufafanua na kuainisha kazi zao lakini pia kuweka malengo ya ubora katika kufikia malengo ya taasisi.

Hata hivyo ameelezea ni maandalizi gani kama maabara wanatakiwa kuwa nayo ambapo kabla ya kuomba cheti cha ithibati ya umahili moja ya maandalizi ni kupata uelewa wa matakwa ya viwango husika kwa kupatiwa mafunzo ambayo yanatolewa na TBS, hatua nyingine ni kufuata matakwa ya yaliyowekwa ya kimataifa.

UTACHEKA VITUKO VYA CHOLO, NDUGU WAANDISHI WA HABARI, UKWELI WA MAISHA YAKE, KICHAA, SURA YAKE

You Might Also Like

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi

Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’

Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu

Azikwa akiwa hai huko Madaba, DC afika eneo la tukio, ‘Jambo hili ni la kinyama’

Rais Samia atoa Bilioni 15 jimboni kwa Shigongo

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA August 25, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 25, 2021
Next Article KESI YA TOZO: Serikali yaweka pingamizi, hatma ni September 8 (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?