Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mourinho kafunguka “kuna wakati nachanganyikiwa”
Share
Notification Show More
Latest News
Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Mourinho kafunguka “kuna wakati nachanganyikiwa”
Sports

Mourinho kafunguka “kuna wakati nachanganyikiwa”

October 2, 2018
Share
1 Min Read
Manchester United manager Jose Mourinho before the game
SHARE

Club ya Man United katika mechi zake za hivi karibuni za mwanzo wa msimu zimeanza kwa wao kutokupata matokeo chanya katika baadhi ya mechi, kiasi cha kuanza kuleta tetesi kuwa kocha wao Jose Mourinho anaweza akafutwa kazi na nafasi yake kuchukuliwa na Zidane.

Man United kwa sasa wanajiandaa na mchezo wa UEFA Champions League dhidi ya Valencia hivyo kocha wao Mourinho, ameamua kuweka wazi mpira jinsi ulivyo baadhi ya wachambuzi wanapaswa kumuheshimu na kuanza kumjaji akiwa msimu wa tatu Man United.

“Kabla ya yote katika mpira kama unataka kuujua kisayansi, kama unataka kuchambua ni namna gani mchezo ulivyo na namna gani unaweza kuwa, Real Madrid alipoteza 3-0, Barcelona ndani ya game mbili amepoteza point tano, AC Milan katoka sare na Empoli timu ambayo ndio kwanza imepanda daraja huo ndio mpira”

“Lakini unajua kuna wakati najihisi kuchanganyikiwa kwa sababu kazi tunayoifanya na ninachokitoa katika mchakato, siku zote nakuwa natarajia makubwa, tumejifua vizuri sana hivyo kesho na tarajia mchezo mzuri”

“Simba tumewaachia, sisi hatuna presha”-Kocha wa Yanga

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA October 2, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article USIKU HUU: Mwanzo mwisho Daladala ya abiria inavyoteketea Moto, Mwenge DSM
Next Article VIDEO: Shuhuda asimulia Daladala iliyowaka moto ‘Dereva na konda waingia mitini’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
Top Stories June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

June 3, 2023
Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?