Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jackie Chan hatompa mwanae utajiri wake
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Burudani > Jackie Chan hatompa mwanae utajiri wake
Burudani

Jackie Chan hatompa mwanae utajiri wake

April 20, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Mwigizaji nguli kutoka Bara la Asia, Jackie Chan (67) amefunguka kuwa atatoa sehemu ya utajiri wake unaofikia Dola za Marekani 370 milioni (takriban Sh 850 bilioni) kwa watu wenye uhitaji kuliko kumpa mwanawe wa kiume, Jaycee.

Alipokuwa akihojiwa na NewAsia, Chan alitoa maelezo kuwa ameamua kutompa urithi huo wa utajiri Jaycee (39) kwa kigezo kuwa kama mwanae ana uwezo wa kutafuta, ni heri akatafuta pesa zake mwenyewe.

Jaycee ni mtoto pekee wa Chan na mkewe, Joan Lin waliooana mwaka 1982. Jay ni muigizaji na pia ni mwanamuziki. Mwaka 2014 aliwahi kukamatwa na dawa za kulevya na Chan alitumia nguvu kubwa kuomba radhi mbele ya umma kuhusiana na hilo.

“TUSIKAE KWA KUSUBIRIA MATAMKO, RIPOTI YA CAG IMEONESHA”— MBUNGE MATIKO

You Might Also Like

EXCLUSIVE: Alikiba akanusha kuepo kwenye Album ya Davido, aingia kwenye kilimo

Miss Higher Learning imerudi Tena 2023, usaili February 11

Picha: CRDB wazindua huduma ya Premier Banking nchini Burundi

Picha: Naibu Gavana wa Benki Kuu ya Burundi aipongeza benki ya CRDB ya Burundi kwa Miaka 10 ya Mafanikio

Bashungwa ateua Kamati Serengeti Music Festival

TAGGED: burudani
Pascal Mwakyoma TZA April 20, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article JKCI yaokoa Milioni 660
Next Article Sakata la Harmonize, Jeshi la Polisi limetoa tamko kwa mara ya kwanza
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?