Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jaji atupilia mbali mapingamizi kesi mgogoro wa ardhi Arusha
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Jaji atupilia mbali mapingamizi kesi mgogoro wa ardhi Arusha
Top Stories

Jaji atupilia mbali mapingamizi kesi mgogoro wa ardhi Arusha

February 22, 2022
Share
2 Min Read
SHARE

Jaji atupilia mbali mapingamizi kwenye kesi ya mgogoro wa ardhi,utapeli kughushi vyatajwa

Mahakama Kuu Kanda ya Arusha imetupilia mbali mapingamizi mbalimbali yaliyowekwa na wadaiwa likiwemo la ukomo wa muda wakufungua mashauri ya ardhi.

Wakili anayewakilisha wadaiwa alidai kwamba shauri hilo limefunguliwa nje ya muda wa miaka 12 kwa mashauri ya ardhi.

Mapingamizi hayo yaliyowekwa na Wadhamin wa Jamuiya ya Kiislamu ya Ahlul Bait Centre na Ansaarul Imamiyah pamoja na sheikh Abdlulrazak Amir Msuya.

Akitoa uamuzi huo, Muheshimiwa Jani B.K Phillip baada ya kuwasikiliza mawakili wa pande zote mbili juu ya mapingamizi hayo alitoa maamuzi madogo akiyatupilia mbali mapingamizi hayo akieleza kuwa, panapokuwa na madai ya ghushi, utapeli na udanganyifu mahakama Ina jukumu pekee la kusikiliza shauri hilo na kubaini utapeli, ghushi na udanganyifu unaolalamikiwa na kutoa hukumu yake.

Mahakama iliridhika na hoja za mdai kuwa alichotakiwa kuonyesha kwenye hati ni madai tuu na siyo kuthibitisha.

Katika shauri hilo, Wadaiwa walipinga madai hayo na kuleta mapingamizi ya awali ya kisheria ambapo Mapingamizi yaliyotolewa yalikuwa ni juu ya ukomo wa muda wa kisheria wa kufungua mashauri ya ardhi ambayo huwa yanahitajika kufunguliwa ndani ya miaka 12 tangu kuibuka kwa mgogoro huo ambapo Wadaiwa hao walidai kuwa shauri lililofunguliwa na mdaiwa limefunguliwa nje ya muda hivyo mahakama ifute au kulitupilia mbali shauri hilo

Mdai ambaye ni Zainab Husein Larusai na wenzake walifungua shauri hilo wakilalamika kuwa kiwanja ambamo ulijengwa msikiti wa Answaarul Immamiya hakuwahi kutoa wakfu wa kiwanja Naomba 39 kilichopo mkoani Arusha Mjini Kati ulipo msikiti
Na kwamba uhamisho wa kiwanja hicho kwenda kwa Ahlul Bait Centre umezungukwa na utapeli, udanganyifu na ghushi.

Shauri hilo limeahirishwa hadi February 23 2022 kwa ajili ya maelekezo mengine ya kimahakama

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA February 22, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Tanesco kuvuna Bilioni 5 ya mwezi kutoka GGM
Next Article Mtanzania anayetrend tiktok kwa kuziimba nyimbo za wahindi, akutana na balozi wa india
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?