Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jamaa analipwa zaidi ya Milioni 12 kwa siku kumshikia mwamvuli (Video+)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Jamaa analipwa zaidi ya Milioni 12 kwa siku kumshikia mwamvuli (Video+)
Mix

Jamaa analipwa zaidi ya Milioni 12 kwa siku kumshikia mwamvuli (Video+)

August 5, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Ni Ayo TV ENT na muda huu nakupeleka mamtoni kwa Biden ambapo staa Quavo anaetokea katika kundi la Migos time hii amechukua Vichwa vya Habari mitandaoni baada ya kupost picha kupitia mtandao wa Instagram ikimuonesha akiwa ameshikiwa Mwamvuli na jamaa anaedai kuwa anamlipa Dola 5000 za kimarekani.

Star huyo anamlipa jamaa huyo dola 5000 ambazo ni sawa na Takribani Milioni 12 za kitanzania kwa ajili ya Kumshikia Mwamvuli pamoja na kumpepea ili asihisi Joto.

Quavo amethibitisha hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo ameandika kuwa Anamlipa msaidizi wake huyo Pesa hizo kwa Siku moja

RIHANNA ATANGAZWA NDIE MSANII WA KIKE TAJIRI DUNIANI AKIWA NA KIASI HIKI CHA PES

 

 

 

You Might Also Like

Hifadhi ya Mpanga Kipengere kusherehekea siku ya Maanguko ya Maji Duniani

Wabunge wafurahishwa na utekelezwaji wa mradi wa bomba la mafuta ghafi EACOP

Profesa Mkenda kufungua maonesho ya Nane ya Tafiti na Ubunifu UDSM

Miaka 5 ya ITM, Serikali imeahidi kuadhimisha sekta ya rasilimali watu

Yanga, UNICEF na Serikali zaungana kutoa elimu Ugonjwa wa Kipindupindu

TAGGED: Marekani, Quavo, rihanna
Edwin TZA August 5, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mtandao wakwamisha Kesi ya Mbowe, Mahakama yatoa maelekezo (Video+)
Next Article Rude Boy aachia rasmi album yake mpya “Rudy Kill us” isikilize hapa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?