Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mtanzania katajwa katika list ya wajasiriamali chini ya miaka 30 Afrika wanaotarajiwa kuwa mabilionea
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Mtanzania katajwa katika list ya wajasiriamali chini ya miaka 30 Afrika wanaotarajiwa kuwa mabilionea
Mix

Mtanzania katajwa katika list ya wajasiriamali chini ya miaka 30 Afrika wanaotarajiwa kuwa mabilionea

May 28, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Jarida maarufu la Forbes Afrika mwishoni mwa wiki hii limeiachia list ya wajasiriamali 30 wanaotarajiwa kuwa wakubwa kutoka bara la Afrika katika sekta zote kwa mwaka 2016, hawa ni mabilionea wa kesho.

Orodha ina wajasiriamali kutoka barani kote Afrika, kutoka Kenya, Nigeria, Madagascar, Tanzania, Benini, Gambia, Zimbabwe na nchi zingine za Afrika.

Mtanzania ambaye ni Miss Universe 2010, Hellen Dause  jina lake limetajwa  kuwa miongoni mwa wajasiriamali hao walio chini ya umri wa miaka 30 kwa mwaka 2016.

forbes

Mhaririri Mtendaji wa Forbes Afrika, Criss Bishop amesema…….>>> ‘hii orodha ni muhimu sana Afrika kwa kijana yeyote  kwa kuwa ina ushawishi wa kutosha wa kuanzisha biashara yake’.

Proud of her 👏🏾👏🏾💪🏾 https://t.co/k7zcGcfEOa

— Flaviana Matata (@FlavianaMatata) May 28, 2016

Very proud of Miss Universe Tanzania 2010 @NuyaHellen for making it to top 30 under 30 entrepreneurs @forbesafrica pic.twitter.com/fvPH0jR5NW

— MissUniverseTanzania (@MsUnivTz) May 28, 2016

BAADA YA SOUTH AFRICA KUPLAY MUZIKI WA NYUMBANI KWA 90%, DIAMOND PLATNUMZ AMEYAZUNGUMZA HAYA…

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

TAGGED: Tanzania
Millard Ayo May 28, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoFUPI: Baraza la wazee Yanga leo May 28 2016 limeomba muongozi TFF, kuhusu ………
Next Article VideoMPYA: Makomando wanatukaribisha kuitazama hii ‘Sasanuvo’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?