Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kauli iliyomkera Kanye West na kuamua kuwachana Jay Z na Beyonce Live Stejini
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Kauli iliyomkera Kanye West na kuamua kuwachana Jay Z na Beyonce Live Stejini
Habari za Mastaa

Kauli iliyomkera Kanye West na kuamua kuwachana Jay Z na Beyonce Live Stejini

November 21, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Licha ya kuwa washindani katika game ya mziki, Rapper Kanye West na familia ya Carter, Jay Z & Beyonce wamekuwa marafiki wakubwa tu kwa muda. Kanye West ameweka hilo pembeni na kufunguka kwamba hakupendezwa na kitendo cha Beyonce kusema hato perform kwenye tuzo za MTV Video Music Awards 2016 endapo video yake ya ‘Formation’ haitoshinda kama Video bora ya mwaka. Kanye aliyasema hayo alipokuwa kwenye show yake huko Sacramentino Carlifonia.

Beyonce alikuwa akishindanishwa na Kanye West pamoja na Drake kwenye kipengele hicho ambacho hata hivyo, alishinda. Kanye alisema alijisikia vibaya kusikia vile tena kama utakumbuka Kanye alishawahi kuingilia speech ya Tailor Swift mwaka 2009 alipopokea tuzo ambayo alisema alistahili  kuchukua Beyonce kitu ambacho kilimfanya asiwe na mahusiano mazuri na Taylor Swift.

Kanye aliendelea kwa kusema “sijaongea hivi ili muende kumdiss Beyonce, Beyonce ni mtu mahiri na hata Taylor Swift pia, mimi naongea tu mawazo yangu japokuwa wakati mwingine siasa zinatupelekea kujisahau”. Kanye alimalizia  kwa kumsihi Jay Z amcheki hewani waongee kama wanaume.

Baada ya kusema hayo Kanye alitupa Mic chini na kuondoka kwenye steji, kitu ambacho kililalamikiwa na mashabiki huku wakisema hawakwenda kutazama show ya nyimbo mbili tu.

 VIDEO: Alikiba na Ommy Dimpoz wakiimba ‘Kajiandae’ pamoja kwenye ON AIR na Millard Ayo>>>

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: Beyonce, JAY Z, Kanye West, Marekani
Admin November 21, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article TOP STORIES Kutoka kwenye Magazeti ya Tanzania leo Nov 21, 2016
Next Article Taarifa ya Mbunge wa zamani Moses Machali kujiunga na CCM leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?