Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jela kwa kujifanya Usalama wa Taifa
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Jela kwa kujifanya Usalama wa Taifa
Top Stories

Jela kwa kujifanya Usalama wa Taifa

May 25, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Mahakama ya wilaya ya Babati mkoa wa Manyara imemhukumu Patrick Wambura (34) mkazi wa Bariadi Mkoani Simiyu kutumikia kifungo cha miezi mitatu gerezani kwa kosa la kujifanya Ofisa usalama wa Taifa.

Hukumu hiyo imetolewa leo na Hakimu mkazi Mfawidhi wa mahakama ya wilaya ya Babati Victor Kimario ambapo amesema mshtakiwa huyo alijitambulisha kwa Ofisa wa Baraza la ardhi na nyumba wilaya ya Babati Januari 18 mwaka jana kuwa yeye ni Ofisa usalama wa Taifa.

Amesema mshtakiwa huyo alijiita Ofisa usalama wa Taifa akidai anafatilia nyaraka za kesi ya Mlale Sogweda ambaye alikuwa na shauri katika Baraza hilo.

Hakimu Kimario amesema upande wa mashtaka uliwasilisha mashahidi wanne na vielelezo vitano, huku hoja iliyoifanya mahakama kukubaliana na ushahidi huo ni kuwa mashahidi waliiambia mahakama kuwa mshtakiwa alikuwa anaonekana mahakamani mara kwa mara akijifanya kuwatetea watu wakati akijua yeye siyo wakili.

Kimario amesema shahidi namba moja, mbili na tatu walisema kuwa mshtakiwa alienda pale ofisini mchana na kujitambulisha kuwa ni Ofisa usalama wa Taifa,huku shahidi namba nne ambaye ni askari polisi ndio alioneshwa kuwa mhusika ni huyo na baada ya kutoka pale alikamatwa na kufikishwa kituo cha polisi Babati na alipopekuliwa alikutwa na kitambulisho cha Taifa tu.

“Kitendo alichokifanya Wambura siyo kizuri cha kujipendekeza na kujifanya mtu mashuhuli katika jamii hivyo nakutia hatiani uende gerezani ukatumikie miezi mitatu,”amesema Kimario

Awali kabla ya hukumu hiyo mwendesha mashtaka wa serikali Mwanaidi Chuma aliiomba mahakama kutoa adhabu kali kwa kosa alilolifanya,huku Mshtakiwa akiiomba mahakama kumuondolea adhabu hiyo kwa kuwa ana mtoto mdogo wa miezi minne na watoto wengine wanne ambao ni yatima mama yao alishafariki na yeye mwenyewe ni mgonjwa hivyo anaomba apunguziwe adhabu.

 

 

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

Edwin TZA May 25, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ali Kamwe afunguka kuhusu shangwe ya Fainali ya CAF kuelekea mchezo dhidi ya USM Alger
Next Article Shule ya Ibun Jazar wakomalia maadili mema kwa Viongozi wajao
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?