Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jeshi la EAC kwenda nchini Congo, haya ndio makubaliano yaliyoafikiwa
Share
Notification Show More
Latest News
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Jeshi la EAC kwenda nchini Congo, haya ndio makubaliano yaliyoafikiwa
Top Stories

Jeshi la EAC kwenda nchini Congo, haya ndio makubaliano yaliyoafikiwa

June 21, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Viongozi wa Afrika Mashariki wamekubaliana jana Jumatatu kutuma jeshi la kikanda la Afrika Mashariki kwenda mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na kutoa wito wa mapigano kusitishwa mara moja.

Hatua hiyo ilitangazwa na ofisi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta baada ya Wakuu wa Mataifa saba ya Jumuiya ya Afrika Mashariki kufanya mazungumzo mjini Nairobi kuhusiana na kuongezeka kwa machafuko mashariki mwa Congo.

Kulingana na ofisi hiyo ya Rais Uhuru Kenyatta, Wakuu hao wameliagiza Jeshi hilo la kikanda kushirikiana na vikosi vya Congo kurejesha utulivu na kuhakikisha amani inapatikana.

Hata hivyo taarifa hiyo haikusema iwapo Rwanda inayolaumiwa kuwasaidia Waasi itaunganishwa kwenye Jeshi hilo, ingawa Serikali ya Congo inasisitiza haitakubali Wanajeshi wa Rwanda kujumuishwa.

VITA RWANDA NA CONGO, KAGAME NA RAIS FELIX WAKUTANISHWA

You Might Also Like

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

Edwin TZA June 21, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mtoto auwawa na kutupwa pembeni mwa mto huko Geita
Next Article Simba SC watangaza kumalizana na Pascal Wawa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Sports

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?