Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Sio vizuri kufunua makaburi, Bukoba tumewahi poteza bilioni 18” – Meya Bukoba
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > “Sio vizuri kufunua makaburi, Bukoba tumewahi poteza bilioni 18” – Meya Bukoba
Top Stories

“Sio vizuri kufunua makaburi, Bukoba tumewahi poteza bilioni 18” – Meya Bukoba

December 31, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Leo December 31, 2017  ni Saa chache zimesalia kumaliza mwaka 2017 na kuingia 2018,  AyoTv na millardayo.com imempata Meya wa Manispaa ya Bukoba Chief Kalumuna ambapo ameeleza baadhi ya mambo waliyofanya kwa mwaka mmoja pamoja na vikwazo walivyokumbana navyo.

Kalumuna amesema kuwa kwa upande wao kama Madiwani wamefanya kazi bila kujali vyama vyao katika shughuli za kuleta maendeleo likiwemo swala la kujenga stend mpya na ya kisasa katika maeneo ya Kyakairabwa na wanatarajia kufikia February 2018 itakuwa imekamilika.

Aidha amesema kuwa kipindi cha nyuma waliwahi kupoteza fedha takribani Bilion 18 kutoka Benki ya Dunia  na hiyo ilitokana na kutoelewana kwa baadhi ya viongozi wa kisiasa ndani ya Manispaa.

BREAKING: TRA kuanza kumchunguza Askofu Kakobe “nina hela kuliko Serikali”

You Might Also Like

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa

Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga

Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini

DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’

Silent Ocean Ltd watoa taarifa kwa wateja wao mabadiliko ya Muda wa kazi, fahamu hapa

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo December 31, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Sababu za RC Geita kuzuia likizo za watumishi (+Video)
Next Article EXCLUSIVE: Compozers wazungumza kuhusu Alikiba na Diamond
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?