Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Utafiti: Kuanzia miaka 55 watu wengi huchukia ajira zao….sababu?
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Utafiti: Kuanzia miaka 55 watu wengi huchukia ajira zao….sababu?
Top Stories

Utafiti: Kuanzia miaka 55 watu wengi huchukia ajira zao….sababu?

October 14, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Utafiti mpya uliofanya nchini Uingereza kwa kutumia waajiriwa zaidi ya 2000 unaonesha kuwa jinsi umri wa watu unavyoongezeka ndivyo wanavyoendelea kuchukia kazi wanazozifanya.

Hali hii ya kutofurahia kazi zao huanza katika umri wa miaka 35 na huzidi sana pindi wanapofika miaka 55 na zaidi ambapo wengi wao huhisi hawathaminiwi na wala mchango wao hauonekani na hivyo suala hilo huuwa kabisa morali ya kazi.

Wanasayansi wanashauri kuwa mtu anapofikia kipindi hiki na kujisikia hali hii ni vyema kuwekeza nguvu nyingi na muda wao katika miradi inayowafurahisha ili kuepuka kuchoshwa na kazi ambazo wamekua wakizifanya kwa miaka mingi.

Ulipitwa na hii? Vitu vitatu vilivyofanya Nay wa Mitego awaite waandishi wa habari

You Might Also Like

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

TAGGED: duniani, Facebook Twitter na Insta, habari daily, TZA HABARI, utafiti
Admin October 14, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ayo TV MAGAZETI: Kibano chatua, Ponda ahenyeshwa saa 11 Polisi
Next Article Faida 6 za Konokono akiliwa ambazo huenda ulikuwa huzifahamu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?