Moja stori ya kuifahamu kutokea DSM leo October 1, 2020 magari yameanza kutumia daraja la juu eneo la Ubungo kuunganisha Mandela Road kutokea upande wa Buguruni na Sam Nujoma Road kuelekea Mwenge.
Jione uzuri wa Fly over mpya, Ubungo imenoga, hakuna foleni (+vide)
Leave a comment
Leave a comment