Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA 3: Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete bado anaitumikia Afrika
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
March 25, 2023
Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’
March 25, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > PICHA 3: Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete bado anaitumikia Afrika
Mix

PICHA 3: Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete bado anaitumikia Afrika

January 30, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Rais Mstaafu wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete bado anaendelea kulitumikia bara la Afrika ambapo kama haufahamu, yeye pia ni Mjumbe maalum wa umoja wa Afrika katika usuluhishi wa mgogoro wa Libya.

JK ameshiriki mkutano wa kamati ya wakuu wa nchi wa umoja wa Afrika kuhusu Libya iliyokutana Brazaville, Congo chini ya uenyekiti wa Rais wa Congo Brazaville Dennis Sassou Ngueso ambapo kamati hiyo inaundwa na Marais wa Congo Brazaville, Afrika Kusini, Chad na Mauritania.

Mkutano huo uliitishwa kwa lengo la kupokea taarifa ya usuluhishi wa mgogoro huo na kuweka msimamo wa umoja wa Afrika katika utafutaji wa suluhu katika mgogoro wa Libya.
Kamati hiyo itawasilisha taarifa yake katika mkutano wa wakuu wa nchi wa baraza la usalama la Umoja wa Afrika  Addis Ababa pembezoni mwa mkutano wa wakuu wa nchi za umoja wa Afrika unaotarajiwa kufanyika Addis Ababa tarehe 30 na 31 January 2017.

Caption 1: Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete katika Mkutano wa Kamati ya Wakuu wa Nchi za AU kuhusu Libya. Kulia kwake ni Rais wa Mauritania na Mwenyekiti na Rais wa Congo, Mhe. Dennis Sassou Ngueso.

Caption 2: Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais wa Chad na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika na Rais Mhe. Idriss Deby.

Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete akisalimiana na Rais wa Chad na Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika na Rais Idriss Deby.

ULIPITWA? Tazama Rais Kikwete alivyopita na selfies za Wasanii wakimuaga kwenye hii video hapa chini

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo January 30, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mrembo wa dunia wa Miss Universe ametangazwa… Kenya yavunja rekodi
Next Article AyoTV RUVU: Saa 5 baadae kwenye eneo Treni ya abiria ilipoanguka ikitokea Kigoma
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023
Magazeti March 26, 2023
Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo
Top Stories March 25, 2023
Gigy Money katuletea hii video mpya ‘ogopa’ itazame hapa
Entertainment March 25, 2023
Picha: Polisi Jamii Cup yazinduliwa Mkoani Manyara
Top Stories March 25, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Mayanja atoa maagizo haya kwa Wakulima Wilayani humo

March 25, 2023
Top Stories

Mkurugenzi wa Asas afunguka, ‘Tunawafugaji Elfu 6500, Rungwe na Isanu Busokelo uzalishaji ni mkubwa’

March 25, 2023
Top Stories

Mfanyabiashara maarufu Marcas ajitosa kuutaka U NEC Arusha, kufuatia kufutwa kwa Uchaguzi mwaka jana

March 25, 2023
Top Stories

Wananchi Wilayani Korogwe wamuomba hili DC Jokate kutafuta ufumbuzi, ‘Changamoto ya Tembo’

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?