Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: ‘Asilimia 87 ya Watanzania wapo tayari kulipa ada ili kupata elimu bora’
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > ‘Asilimia 87 ya Watanzania wapo tayari kulipa ada ili kupata elimu bora’
Top Stories

‘Asilimia 87 ya Watanzania wapo tayari kulipa ada ili kupata elimu bora’

May 17, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Taasisi ya Twaweza leo May 17, 2018 imetoa utafiti wake kuhusu masuala ya elimu ambapo imebainika kuwa mitazamo ya wananchi kuhusu elimu bure imebadilika kwa kiasi kikubwa ndani ya miaka 12 iliyopita.

Meneja Utetezi wa Twaweza, Anastazia Lugaba amesema kuwa asilimia 87 ya watanzania kupitia utafiti huo kwa mwaka 2017 uliopewa jina ‘Elimu bora au Bora Elimu? waitakayo watanzania’ wapo tayari kulipia ili kupata ubora kwenye elimu tofauti na mwaka 2005 ambapo (56%) ya wananchi walisema kuwa ni bora elimu itolewe bure kwa watoto hata kama kiwango cha elimu ni cha chini.

“Tunaelewa kwamba tumeelekeza watoto wapate elimu bure, japo tumeondoa michango na pia tumeondoa ada lakini changamoto kwenye sekta ya elimu zinaonekana kuwa ni nyingi na kubwa sana, kwasababu walimu ni wachache na wanafunzi ni wengi sana” amesema Lugaba

Taarifa ya Twaweza inaeleza kuwa matokeo hayo yanatokana na takwimu zilizokusanywa kutoka kwa wahojiwa 1,789 kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania bara pekee.

MAGAZETI LIVE: Ishu ya wanawake wenye Makalio, Nape Bashe waamsha Dude

You Might Also Like

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

TAGGED: TZA HABARI
Millard Ayo May 17, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Utafiti umeonesha sehemu anayolala Sokwe mtu ni safi kuliko ya binadamu
Next Article Wizkid katika kashfa ya kutelekeza mtoto wake
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?