Rais John Pombe magufuli leo November 4, 2019 akimuapisha CAG mpya Charles Kichere “CAG nataka nikueleze kabisa hapa mwanzoni, Katiba inazungumza na Sheria zinazungumza, unaweza ukakaa hiyo miaka 5 ya mkataba wako, unaweza pia ukakaa hata mwaka mmoja kwasababu taratibu za kukutoa zipo na zinafanywa na Rais,ila sikutishi wewe nenda ukachape kazi”.
Magufuli ampa onyo kali CAG mpya “Usijifanye mhimili, Mimi ndo mwenye Serikali” (+video)
Leave a comment
Leave a comment