Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Vitu 15 ameviongea Rais JPM akiwa ziarani Mkoani Pwani leo
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Vitu 15 ameviongea Rais JPM akiwa ziarani Mkoani Pwani leo
Top Stories

Vitu 15 ameviongea Rais JPM akiwa ziarani Mkoani Pwani leo

June 20, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Leo June 20, 2017 Rais Magufuli ameanza ziara ya kikazi ya sikuu tatu mkoani Pwani ambako atazindua viwanda vitano pamoja na mradi wa maji wa mto Ruvu. Akiwa kwenye siku ya kwanza eneo la Bwawani Rais JPM amezungumza na wananchi kutaja vitu 15 ambavyo serikali yake inavifanya na itafanya.

Nimekukusanyia hapa chini unaweza kuvisoma.

'Mkionana wachache wanalalamika mujue Magufuli anafanya kazi, mkiona wachache wanalia wanasema Magufuli anatumbua semeni tumbua'-@MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Sizungumzii wana CCM ninazungumzia Watanzania wote tatizo alilonalo mwana CCM analo wa ACT, wa CHADEMA au wa CUF' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Tanzania ni ya pili kwa vivutio vya kitalii duniani ikiongozwa na Brazil, lakini vivutio hivi haviwanufaishi Watanzania' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Tanzania tuna kila kitu lakini angalieni sehemu tulipo, kuna mahali tulikosea na lazima tuparekebishe' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Tumelipa madeni ya serikali ambayo ilikuwa inadaiwa na wafanyakazi, tunataka tufike mahali tusiwe tunadaiwa kabisa' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Nimeongea na Waziri Mkuu wa Ethiopia ameniambia atatuma wataalam watusaidie kujenga bwawa la kuzalisha umeme wa kutosha' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Mimi nachukia sana wezi awe mwizi wa ndani au wa nje mwizi ni mwizi tu na wataula wachuya awamu hii' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Kibiti nawaambia kwenye awamu hii hawatapita najua walikuwa wachache na moto wameshaanza kuuona narudia tena hawatapita' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Tunanunua ndege na kujenga reli ya kisasa kwa kuwa sisi Tanzania ni matajiri ni lazima tuishi kitajiri tajiri' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Tumenunua ndege sita mpya hadi sasa zipo mbili zinazofanya kazi, nyingine inakuja na nyingine tatu zitakuja mwakani' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Tunaochelewesha maendeleo ya Kibiti na Rufiji ni sisi wenyewe, hakuna mtu atakayekwenda kuwekeza sehemu watu wanauana' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Mimi nimeshaalikwa kwenye nchi zaidi ya 50 lakini siendi mimi humu humu kwanza tunyooshane najua nikitoka watu watalala' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Kama Halmashauri haiwezi kujenga barabara waseme wasipewe fedha ili zibaki serikali kuu tujenge wenyewe barabara zetu' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Nataka kila kiongozi kwa nafasi yake ajitafakari anasaidiaje wananchi masikini na ukiona hupati jibu jiondoe mwenyewe' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

'Niliamua kwa makusudi kabisa Wizara ya TAMISEMI iwe chini ya Rais kwa sababu nataka kuisimamia mwenyewe kama Waziri' – Rais @MagufuliJP

— millardayo (@millardayo) June 20, 2017

VIDEO: Umepitwa na majibu ya Waziri Mwigulu kuhusu Askari waliowapiga walemavu Dar? Bonyeza play kutazama 

You Might Also Like

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

TAGGED: Rais Magufuli, siasa
Admin June 20, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Shabiki maarufu wa Yanga amefariki Dunia
Next Article EXCLUSIVE: Kingine kutoka kwa Mtanzania aliyesoma kwa ada ya Milioni 365 (+AUDIO)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 1, 2023
Magazeti June 1, 2023
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?