Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: Hotuba ya JPM kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani – Kilimanjaro
Share
Notification Show More
Latest News
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
March 22, 2023
“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > VIDEO: Hotuba ya JPM kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani – Kilimanjaro
Mix

VIDEO: Hotuba ya JPM kwenye Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani – Kilimanjaro

May 1, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo May 1, 2017 amehutubia kwenye maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani inayofanyika kitaifa katika Viwanja vya Ushirika mjini Moshi, mkoani Kilimanjaro.

Kila ifikapo May 1 kila mwaka Dunia huadhimisha Siku ya Wafanyakazi ikiwa ni kutambua, kuthamini, kujali na kuheshimu mchango wao katika maendeleo ya Dunia kwa ujumla ambapo katika kuiadhimisha siku hii Tanzania imekuwa na kauli mbiu inayosema: ‘Uchumi wa Viwanda uzingatie  Haki, Maslahi na Heshima kwa Wafanyakazi’.

Bonyeza play kutazama…

VIDEO: Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani – Ushirika, Moshi. Bonyeza play kutazama…

You Might Also Like

Guterres: Kwenye maadhimisho ya siku ya Maji duniani, “mahitaji yanaongezeka tutunze rasilimali za maji”.

WFP, imetangaza kusitisha kutoa misaada ya kibinadamu mashariki mwa Sudan.

Jenerali muhoozi aahidi msaada kwa Marekani kujenga sanamu ya rapa Tupac Shakur.

Bunge la Uganda lapitisha mapendekezo ya kifungo cha miaka 10 kwa wapenzi wa jinsia moja.

UN: Tahadhari juu ya ongezeko la joto Duniani.

TAGGED: Ayo TV, habari daily, Rais Magufuli, TZA HABARI
Millard Ayo May 1, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Sheria ya kunyoa nywele Korea Kaskazini ambayo haipatikani kwingine duniani
Next Article Vifaa 7 vya kiteknolojia vilivyowahi kubuniwa na kuushangaza ulimwengu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
Top Stories March 22, 2023
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Top Stories

“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?