Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Jerry Muro aingia barabarani mwenyewe, asimamisha magari 10 “kazi niliyotumwa ni hii” (+video)
Share
Notification Show More
Latest News
Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
March 23, 2023
DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’
March 23, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Breaking News > Jerry Muro aingia barabarani mwenyewe, asimamisha magari 10 “kazi niliyotumwa ni hii” (+video)
Breaking NewsTop Stories

Jerry Muro aingia barabarani mwenyewe, asimamisha magari 10 “kazi niliyotumwa ni hii” (+video)

August 14, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

millardayo.com :: Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro ameingia barabarani na kukamata magari kwenye eneo la Usa River Arusha ambapo jambo la kwanza alilohoji ni “je yanapita kihalali kwenye eneo langu? kazi niliyotumwa ni hii na haya ndio mambo ninayotakiwa niyafanye”

“Nilishuhudia magari 10 yakipita katika eneo langu la Usa River, kwanza nataka kujua magari haya yanayopita kwenye eneo langu yanatoka wapi? njia nyepesi ya kutoka Mombasa kwenda Dar es salaam sio ya Namanga, Namanga ni rufi kubwa sana kwahiyo nalo pia likatuongezea mashaka…. je hizi ni zilezile jitihada za kuhujumu bandari yetu ya Dar es salaam?“

Mtazame Jerry Muro mwanzo mwisho akiongea kwenye hii video hapa chini

VIDEO: KATIBU MKUU CCM ATAKA KANGI LUGOLA AMPE MAELEZO “NATAKA MAJIBU” BONYEZA PLAY HAPA CHINI KUTAZAMA YOTE

You Might Also Like

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa

Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga

Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini

DC Jokate Mwegelo awataka hili Wafanyabiashara Wilayani humo ‘Bei za Vyakula’

Silent Ocean Ltd watoa taarifa kwa wateja wao mabadiliko ya Muda wa kazi, fahamu hapa

TAGGED: Breaking news, TZA HABARI
Millard Ayo August 14, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Katibu Mkuu CCM ataka maelezo ya Kangi Lugola “NATAKA MAJIBU”
Next Article Dereva wa msanii na mbunge Bobi Wine amepigwa risasi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Morgan Heritage kuachia album wasanii 16 washirikishwa
Entertainment March 23, 2023
Baada ya uchaguzi kufutwa Arusha, makada wawili wajitokeza kuchukua fomu yupo mbunge na kada gonga
Top Stories March 23, 2023
Serikali yashauriwa kuongeza Bajeti ya Usimamizi wa Usalama na Afya nchini
Top Stories March 23, 2023
Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’
Sports March 23, 2023

You Might also Like

Sports

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

March 23, 2023
Sports

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

March 22, 2023
Sports

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

March 18, 2023
SportsTop Stories

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

March 17, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?