Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Ile kesi ya Nyaronga, Mahakama Kuu yatoa zuio, yapanga kuisikiliza
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Ile kesi ya Nyaronga, Mahakama Kuu yatoa zuio, yapanga kuisikiliza
Top Stories

Ile kesi ya Nyaronga, Mahakama Kuu yatoa zuio, yapanga kuisikiliza

June 7, 2019
Share
2 Min Read
SHARE

Tunayo stori kutokea Mahakama Kuu ya Tanzania ambapo Septemba 11, 2019 inatarajia kuanza kusikiliza kesi ya mirathi namba 266/2019 iliyofunguliwa na Mary Nyaronga akiomba Mahakama hiyo iwaamuru wasimamizi wa mirathi ya baba yake, John Nyaronga wampatie urithi wake.

Katika kesi hiyo, wasimamizi ambao ndiyo walalamikiwa ni Dk.George Nyaronga, Anna Nyaronga, Bahati Kivugo (mke wa marehemu) na Denis Arego ambaye ni mtoto wa marehemu aliyejitokeza baada ya baba yake kufariki.

Kabla ya Mahakama kupanga kusikiliza kesi hiyo Septemba 11, tayari imeshatoa zuio la kutokuuzwa kwa hoteli ya marehemu Nyaronga ambayo ipo Musoma hadi masuala yaliyokuwepo mahakamani yasikilizwe na kutolewa uamuzi.

Uamuzi wa kuwekwa zuio hilo umetolewa na Jaji Dk. Atuganile Ngwala baada ya kuibuka malumbano baina ya pande mbili wakati kesi hiyo ilipotajwa kwa mara ya kwanza kwa ajili ya kusikilizwa.

Jaji Dk.Ngwala aliwataka upande wa walalamikiwa (wajibu maombi) ndani ya siku 14, kuwasilisha kiapo kinzani mahakamani hapo, ambapo watatakiwa kukiwasilisha Juni 18,2019.

Mary alifungua kesi hiyo kuiomba Mahakama iwaamuru walalamikiwa kumlipa mali za urithi alizogawiwa mara baada ya baba yake kufariki. Anadai kuwa mali hizo hajagawiwa tangu mwaka 2013.

Miongoni mwa mali hizo ni shamba la hekali tatu lililopo Kizito Huonjwa, kijiji cha Kimbiji Beach, shamba namba 2753, lipo Kisanga kijiji cha Kisarawe hekali 14, Injini ya boti iliyopo Chetah, sh milioni 15 kutoka benki ya NMB, Sh milioni 22 kutoka katika hisa za Kampuni ya MSC, shamba hekali 1.2 ambalo lipo Kijiji cha Buganjo.

Mashahidi wakwamisha kesi ya ‘Mpemba wa Magufuli’ mahakamani imepanga haya

JIONEE BANDARI NDOGO YA KISASA ILIYOJENGWA SENGEREMA

https://youtu.be/r-mzTEOZmEM

You Might Also Like

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

TAGGED: Top Storie
Mika Ndaba TZA June 7, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article T.I atoa povu kuhusu tuhuma za kifo cha dada yake (+video)
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania June 8, Hardnews, Udaku na Michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?