Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kesi ya Kigogo wa UDART na mkewe, Mahakama yaelezwa ulipofikia Upelelezi (+video)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kesi ya Kigogo wa UDART na mkewe, Mahakama yaelezwa ulipofikia Upelelezi (+video)
Top Stories

Kesi ya Kigogo wa UDART na mkewe, Mahakama yaelezwa ulipofikia Upelelezi (+video)

June 11, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Upande wa Jamhuri katika kesi ya utakatishaji fedha inayomkabili Mkurugenzi wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es Salaam (UDART) Robert Kisena na wenzake wanne umedai kuwa upelelezi wa shauri bado haujakamilika.

Hayo yameelezwa na Wakili wa Serikali, Ester Martine mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Augustine Rwizire kuwa shauri hilo lilikuja kwa ajili ya kutajwa na upelelelezi bado haujakamilka hivyo wanaomba tarehe nyingine kwa ajili ya kutajwa.

Baada ya maelezo hayo Hakimu Rwizire aliahirisha kesi hiyo hadi June 24 mwaka huu kwa ajili ya kutajwa. Washtakiwa wamerudishwa rumande.

Mbali na Kisena washtakiwa wengine katika kesi hiyo ni mkewe Frolencia Membe, Kulwa Kisena, Charles Newe na raia wa China, Cheni Shi.

Kwa pamoja washtakiwa hao wanakabiliwa na mashtaka 19 ikiwemo kusababisha hasara kwa UDART ya Sh. Bilion.2.41.

Katika mashtaka hayo yapo ya Kuongoza genge la uhalifu, kujenga kituo cha mafuta bila kibali, kuuza mafuta sehemu zisizoruhusiwa, Wizi wa mafuta na utakatishaji fedha wa Sh. Bilioni.1.2, kughushi na kusababisha hasara ya Bilioni.1.4.

MAHAKAMA YAAMURU WEMA SEPETU AKAMATWE

You Might Also Like

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

TAGGED: Top Storie
Mika Ndaba TZA June 11, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VideoMPYA: Ni Ben Pol tena Mabibi na Mabwana ‘nilijipa moyo natupa jiwe nitapata almasi’
Next Article Shabiki amtishia Rude Boy wa P Square kumuua kisa pesa za kwenda Marekani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?