Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Pluijm anaondoka Singida, naambiwa huyu ndio mbadala wake
Share
Notification Show More
Latest News
Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Pluijm anaondoka Singida, naambiwa huyu ndio mbadala wake
Sports

Pluijm anaondoka Singida, naambiwa huyu ndio mbadala wake

May 22, 2018
Share
1 Min Read
SHARE

Moja kati ya habari zilizochukua headlines sana kwa sasa katika soka la Bongo ni pamoja na stori za kocha wa Singida United mholanzi Hans van Pluijm kutangaza kuwa ataondoka club hiyo mara baada ya kumalizika kwa msimu huu.

Hans van Pluijm ambaye aliwahi kuifundisha club ya Dar es Salaam Young Africans, ametajwa kufikia maamuzi hayo baada ya kudaiwa kuwa  amepata nafasi ya kuwa kocha mkuu katika club ya Azam FC ambayo kocha wake Cioba ameripotiwa kutoendelea tena na timu hiyo.

Etienne Ndayiragije

Wakati Hans Van Pluijm akihusishwa kwenda kuifundisha Azam FC, aliyekuwa kocha wa Mbao FC Etienne Ndayiragije ameanza kuhusishwa kuwa mbadala namba moja wa Hans van Pluijm katika club ya Singida United, taarifa zote hizi zinaendelea kuwa tetesi licha ya kuwa Hans ametangaza rasmi kuwa ataondoka Singida.

VIDEO: Wachezaji wa Simba SC baada ya kukabidhiwa Kombe la VPL

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA May 22, 2018
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article GoodNews kwa Wanafunzi wote wa Vyuo Vikuu Nchini Tanzania
Next Article Jamaa apiga simu polisi baada ya kufuatwa na Nguruwe Marekani
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli
Top Stories June 3, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 3, 2023
Magazeti June 3, 2023
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Moruwasa, Wamiruvu wafanya Usafi na kutoa Elimu kwa Wakazi wa Vituli

June 3, 2023
Top Stories

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’

June 2, 2023
Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?