Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: EXCLUSIVE: Usiyoyajua kuhusu Haji Manara wa Simba, Baba mzazi kaongea
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > AyoTV > EXCLUSIVE: Usiyoyajua kuhusu Haji Manara wa Simba, Baba mzazi kaongea
AyoTVSports

EXCLUSIVE: Usiyoyajua kuhusu Haji Manara wa Simba, Baba mzazi kaongea

February 1, 2019
Share
2 Min Read
SHARE
Afisa habari wa Simba SC Haji Manara ni moja kati ya watu maarufu sana katika michezo kwa sasa lakini pengine hujui kama Haji Manara ametokea katika familia ya mpira, kingine kilichomfanya Haji Manara kuwa maarufu sana ni hali yake ya kujiamini zaidi ukilinganisha na hali yake ya ulemavu wa ngozi ‘Albino’ ambapo wengine huwa wanajitenga na kuhisi kama ndio basi tena kwenye haya maisha.
So Leo nakukutanisha na baba mzazi wa msemaji wa Simba Haji Manara anayejulikana kwa jina la Sunday Ramadhan Manara ambaye ameeleza kuwa Haji Manara alianza kujiamini tangia utotoni na amewahi kumletea mashekh nyumbani na kumuamsha na kumshitaki kwa mashekh kuwa baba yangu mimi hasali.
Kama humfahamu vizuri mzee Sunday Ramadhan Manara aliyezaliwa miaka 65 iliyopita mkoani Kigoma aliwahi kuwa mchezaji wa Yanga SC na timu ya taifa ya Tanzania lakini pia ni miongoni mwa wachezaji wachache mno waliowahi kwenda kucheza soka la kulipwa nje ya bara la Afrika.
Sunday Manara amewahi kucheza timu mbalimbali nje ya Afrika kama Heracles ya Uholanzi (1976-78), New York Eagles (1978) na kutimkia Austalia katika club ya Australian (1980) na mwaka 1981 alienda kucheza soka Dubai katika club ya Al Nasri iliyokuwa moja ya timu tishio katika Ligi Kuu ya Dubai na mwaka 1984 aliamua kurudi Tanzania na kustaafu rasmi kucheza soka.

Msimamo wa Beno Kakolanya Yanga ndio huu, katuma tena barua

You Might Also Like

Kocha Mkuu wa Taifa Stars awaita kikosini wachezaji hawa wawili wa Simba SC

Full Video: Tazama Mandonga alivyompiga Kenneth ‘Raia wa Uganda’ na kuibuka Mshindi wa Pambano hilo

Picha: Hawa ndio ‘Perfect Kanzu’, mastaa na Watu maarufu ununua hapa Kanzu zao Dar es Salaam

Kapombe na Tshabalala waongezwa Taifa Stars

Kocha Micho wa Uganda ajitetea kipigo cha Taifa Stars “Timu ya Mpito”

TAGGED: Ayo TV, AyoTV, Soka bongo, Stori Pekee
Rama Mwelondo TZA February 1, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Achilia mbali kujaza O2 Arena, Davido kwenye jukwaa moja na Cardi B, Future
Next Article Nuh Mziwanda-“Nawal alinifanya niyumbe kimuziki, nilikosa nguvu”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?