Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Hii ndio Top 5 ya wachezaji wanaoongoza kwa kuoneshwa kadi nyingi katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Hii ndio Top 5 ya wachezaji wanaoongoza kwa kuoneshwa kadi nyingi katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya
Sports

Hii ndio Top 5 ya wachezaji wanaoongoza kwa kuoneshwa kadi nyingi katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya

December 9, 2015
Share
3 Min Read
SHARE

Bado michezo nane hatua ya makundi imalizike, baada ya December 8 kuchezwa michezo nane lakini Usiku wa Jumatano ya December 9 ndio siku ambayo jumla ya timu 32 zitakuwa zimemaliza michezo yake ya hatua ya Makundi na kuweza kufahamu ni timu zipi zimeweza kutinga hatua ya 16 ya Ligi ya Mabingwa Ulaya 2015/2016.

Mtu wangu wa nguvu tukiwa bado tunasubiri hatua ya Makundi imalizike kwa michezo nane ya December 9 kuchezwa naomba nikusogezee Top 5 ya wachezaji soka wanaoongoza kwa kuoneshwa kadi nyingi katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya toka kuanzishwa kwake.

5- Gennaro Gattuso anatajwa kuwa katika list ya wachezaji wenye hasira ila hasira zake zimemfanya aingie katika rekodi ya wachezaji wanaoongoza kwa kuoneshwa kadi nyingi, Gennaro Gattuso anatajwa kuoneshwa jumla ya kadi 23, kadi ambazo alizipata akiwa katika klabu ya Rangers na AC Milan.

Gattuso
Gennaro Gattuso

4- Carles Puyol ni miongoni mwa mabeki wa kati wachache wenye uwezo wa kumudu nafasi zao uwanjani kwa kufasaha, lakini katika suala la kuoneshwa kadi na marefa yeye ameoneshwa jumla ya kadi 25 katika michuano ya klabu Bingwa Ulaya, kadi ambazo ameoneshwa akiwa na klabu ya FC Barcelona.

Carles-Puyol-g
Carles Puyol

3- Licha ya kuwa mshikaji wake Pepe hayupo katika hii list Sergio Ramos anamuwakilisha staa huyo kwa kuoneshwa jumla ya kadi 26 akiwa katika vilabu vya Sevilla na Real Madrid.

Sergio-Ramos6
Sergio Ramos

2- Xabi Alonso ni kiungo wa kimataifa wa Hispania ambaye kwa sasa anakipiga katika klabu ya FC Bayern Munich ya Ujerumani, Alonso yupo nafasi ya pili katika list ya wachezaji walioneshwa kadi nyingi zaidi katika historia ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, Alonso ameoneshwa jumla ya kadi 27, kadi ambazo amezipata akiwa katika vilabu vya Real Sociedad, Liverpool, Real Madrid na sasa FC Bayern Munich.

Xabi-Alonso
Alonso

1- Paul Scholes kiungo wa zamani wa Man United ambaye kwa sasa amestaafu soka, licha ya kuwa amestaafu soka Paul Scholes rekodi yake ya kuoneshwa kadi nyingi bado haijavunjwa, kwani ameoneshwa jumla ya kadi 32 akiwa katika klabu ya Man United, lakini Scholes ndio mchezaji pekee ambaye anaongoza kwa tofauti kubwa kutoka mtu anayemfuatia kwani anapishana na Alonso kwa tofauti ya kadi 5.

Scholes1
Scholes

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyezahapa>>>INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE.

You Might Also Like

Kocha Mkuu wa Taifa Stars awaita kikosini wachezaji hawa wawili wa Simba SC

Full Video: Tazama Mandonga alivyompiga Kenneth ‘Raia wa Uganda’ na kuibuka Mshindi wa Pambano hilo

Picha: Hawa ndio ‘Perfect Kanzu’, mastaa na Watu maarufu ununua hapa Kanzu zao Dar es Salaam

Kapombe na Tshabalala waongezwa Taifa Stars

Kocha Micho wa Uganda ajitetea kipigo cha Taifa Stars “Timu ya Mpito”

Rama Mwelondo TZA December 9, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Real Madrid wahitimisha mechi za makundi kwa kuichapa Malmoe, Cheki Full Time ya UEFA Dec 8 (+Pichaz&Video)
Next Article Msisitizo wa Ikulu kuhusu siku ya Dec 9 na salamu za Rais Magufuli kwa Watanzania
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?