Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mapema leo!! Waziri Makamba akutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya Mafuta na Gesi mkoani Dodoma
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mapema leo!! Waziri Makamba akutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya Mafuta na Gesi mkoani Dodoma
Top Stories

Mapema leo!! Waziri Makamba akutana na Makamu wa Rais wa kampuni ya Mafuta na Gesi mkoani Dodoma

December 8, 2022
Share
2 Min Read
.
SHARE

Waziri wa Nishati, January Makamba mapema leo amekutana na kufanya kikao na Bi. Nina Koch akiwa Dodoma ili kuzungumzia maandalizi ya Uwekezaji wa mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia (LNG).

Waziri Makamba amesema anaridhishwa na hatua iliyofikiwa na kusisitiza kuwa anatarajia kuona mradi huu ukitekelezwa kwa wakati kama ilivyopangwa ambapo ili kuhakikisha mradi huo unatekelezwa kwa ufanisi mkubwa Bi. Koch amesisitiza kuwa Equinor ipo tayari kutoa ushirikiano katika uanzishaji wa Ofisi Maalum ya Mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi asilia (LNG Project Office) ambayo itasimamia na kuratibu shughuli za mradi katika kipindi cha ujenzi na uendeshaji.

.

Bi. Kochi amesema >> “kwa uzoefu wangu miradi kama hii, sio rahisi kukubalika moja kwa moja na pande zote yaani Kampuni na Uongozi wa Nchi. Lakini kwa mradi huu, uongozi wa kisiasa na wananchi wote wa Norway wanauunga mkono’ –  Bi. Koch.

Kwa sasa timu za majadiliano za upande wa Serikali ya Tanzania na wawekezaji zipo katika hatua ya Uandishi (drafting) ya mikataba ya mwisho (final agreements)

Katika ziara yake nchini, Bi. Koch alitembelea eneo utakapojengwa mradi huo wa kuchakata na kusindika gesi asilia (LNG)  mkoani Lindi.

.

Bi Koch aliipongeza Serikali kwa kuchagua eneo la mradi karibu na kiwanja cha ndege, jambo ambalo litarahisisha usafiri wa wafanyakazi na vifaa mbalimbali wakati wa ujenzi na uendeshaji wa mradi.

Pia Bi. Koch alitembelea Chuo cha VETA Lindi ambapo Kampuni zinazotarajiwa kuwekeza katika mradi wa LNG, zimekuwa zikitoa ufadhili wa vifaa vya kujifunzia.

Alimueleza Waziri Makamba kuwa lengo la Kampuni ya Equinor ni kuendelea na kuvifadhili vyuo mbalimbali hasa vya mikoa ya Lindi na Mtwara ili kuwajengea uwezo kwa Watanzania waweze kushiriki kikamilifu katika ujenzi na uendeshaji wa mradi wa huo wenye thamani ya zaidi ya trilioni 70.

Katika kikao hicho Waziri Makamba aliambatana na Kamishna wa Mafuta na Gesi wa Wizara ya Nishati, Bw. Mike Mjinja pamoja na Mha. Charles Sangweni Mkurugenzi Mkuu wa PURA. Kwa upande wa Equinor, Bi Koch aliongozana na Bw. Nizar Damree, Mkuu wa Kitengo cha Mkondo wa Juu Kimataifa,Bw. Nizar Damree Mkuu wa Kitengo cha mkondo wa juu kimataifa, Bi. Unni Fjær Makamu wa Rais na Mkurugenzi Mkuu wa Equnor Tanzania pamoja na Bi. Genevieve Kasanga, Afisa Mawasiliano Equinor Tanzania.

You Might Also Like

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

Edwin TZA December 8, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Usiku wa Uzinduzi wa album ya Jux, Diamond na mastaa wengine wanapanogesha namna hii
Next Article Miaka 60 ya Tanzania na Japan, Watanzania 22,064 wanufaika na mafunzo ya Maendeleo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?