Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kamati ya Maadili ilivyomtia hatiani Gwajima
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 6, 2023
December 6, 2023
Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
December 5, 2023
Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu
December 5, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kamati ya Maadili ilivyomtia hatiani Gwajima
Top Stories

Kamati ya Maadili ilivyomtia hatiani Gwajima

August 31, 2021
Share
2 Min Read
SHARE

Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge imetoa Ripoti yake leo Bungeni Dodoma kuhusu shauri la Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima baada ya kumaliza kumuhoji kwa tuhuma za kuzungumza uongo na kulishushia Bunge hadhi.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo akisoma taarifa yake amesema Shahidi alikiri kauli zote ni zake 100% na akasema ni mahubiri ———> “niliyasema nikiwa Kanisani na ninayasema kama Askofu, kosa kubwa ni kujaribu kuyakosoa mahubiri, huwezi ku-question mahubiri, Kamati ilijiridhisha kuwa mahubiri yanayotolewa yanapaswa kuzingatia Sheria za Nchi hivyo kauli zinazotolewa haziwezi kuwa na kinga ya kuhojiwa”

“Gwajima ni Mbunge na Kiongozi kwa hiyo anatakiwa kuwa mfano wa kuigwa, tuhuma za kuchonganisha Mhimili wa Bunge na Serikali au Serikali na Wananchi zinajidhihirisha wazi kwenye kauli za Askofu Gwajima”

“Gwajima alishindwa kuthibitisha kauli zake na hana kielelezo chochote kama alivyowaaminisha Wananchi, suala la Viongozi kupewa rushwa hakutoa ushahidi wowote, kamati imemtia hatiani Askofu Gwajima”

“Kuhusu adhabu ya utovu wa nidhamu uliokithiri wa Askofu Gwajima ni kuwa kanuni zinataka asihudhurie mfululizo mikutano miwili au isiyopungua mitatu, Kamati ilishangazwa na vitendo alivyovifanya mbele yake na iliona ni dharau”

“Askofu Gwajima hakukiri wala kujutia makosa yake, alionyesha dharau hivyo Kamati imemtia hatiani, Bunge linaazimia kuwa apewe adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo ya Bunge baada ya kupitisha azimio hili” ——— Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Maadili Emmanuel Mwakasaka.

You Might Also Like

Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’

Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne

Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi

Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu

Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA August 31, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mtangazaji ashikiliwa mitutu ya bunduki huku akiwa live huko Afghanistan (video+)
Next Article Picha:Mbunge Jerry Silaa alivyoondolewa Bungeni Dodoma
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo December 6, 2023
Magazeti December 6, 2023
Picha: Rais wa Yanga na GSM Foundation wawafariji Wananchi wa Katesh wilayani Hanang ‘Waathirika wa Mafuriko’
Top Stories December 5, 2023
Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne
Top Stories December 5, 2023
Nilikosolewa vikali nchini kwangu Argentina kwa kushindwa kunyakua taji-Messi
Sports December 5, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wapalestina 50 walimepotiwa kuuawa siku ya leo Jumanne

December 5, 2023
Sports

Ali Al Bulayhi huenda akafungiwa mechi moja kwa maneno machafu

December 5, 2023
Top Stories

Marekani itakataa kutoa viza kwa maafisa wa Uganda wanaotekeleza sheria dhidi ya LGBT+

December 5, 2023
Top Stories

Vita dhidi ya watoto ‘kila kukicha’ kusini mwa Gaza-UNICEF

December 5, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?